Chidy boy Member Joined Jul 21, 2015 Posts 92 Reaction score 0 Sep 23, 2015 #21 midida said: yeah tuwen na subra pamoja na wale walioapply community health. Click to expand... so sis second round ya kawaida uhakika wa kutoka leo upo au
midida said: yeah tuwen na subra pamoja na wale walioapply community health. Click to expand... so sis second round ya kawaida uhakika wa kutoka leo upo au
SIPRITE JF-Expert Member Joined Jul 15, 2015 Posts 499 Reaction score 65 Sep 23, 2015 #22 Dah mkuu ni kweli yametoka humu jukwaani hakuna ambaye amesha pata ya kwake?
M midida Member Joined Sep 17, 2015 Posts 57 Reaction score 0 Sep 23, 2015 Thread starter #23 ambaye n wa inservice aliye selected in 2nd round awathibitishie vijana humu 7bu kuna ambao bado hawaamini.
ambaye n wa inservice aliye selected in 2nd round awathibitishie vijana humu 7bu kuna ambao bado hawaamini.
M midida Member Joined Sep 17, 2015 Posts 57 Reaction score 0 Sep 23, 2015 Thread starter #24 maawananyoro said: community health majibu lini? Click to expand... tusubr mkuu bado tuko inprogress m pia n mlengwa kama wengine in community health.
maawananyoro said: community health majibu lini? Click to expand... tusubr mkuu bado tuko inprogress m pia n mlengwa kama wengine in community health.
grysn JF-Expert Member Joined May 4, 2015 Posts 266 Reaction score 35 Sep 23, 2015 #25 midida said: kama we n mlengwa wa second selection ya vyuo vya afya tembelea profile yako...kila lakheri Click to expand... mkuu_ screen shoot,, profile yako tuone. mbana hamna changezi yoyote , na kama majina yametoka yametoka wapi...!!?
midida said: kama we n mlengwa wa second selection ya vyuo vya afya tembelea profile yako...kila lakheri Click to expand... mkuu_ screen shoot,, profile yako tuone. mbana hamna changezi yoyote , na kama majina yametoka yametoka wapi...!!?
SIPRITE JF-Expert Member Joined Jul 15, 2015 Posts 499 Reaction score 65 Sep 23, 2015 #26 grysn said: mkuu_ screen shoot,, profile yako tuone. mbana hamna changezi yoyote , na kama majina yametoka yametoka wapi...!!? Click to expand... Safi sana hapo umenena kiongozi
grysn said: mkuu_ screen shoot,, profile yako tuone. mbana hamna changezi yoyote , na kama majina yametoka yametoka wapi...!!? Click to expand... Safi sana hapo umenena kiongozi
A astronomy Member Joined Jun 30, 2015 Posts 28 Reaction score 1 Sep 24, 2015 #27 second selection inaweza ikatoka leo au
Black fire JF-Expert Member Joined Oct 8, 2014 Posts 755 Reaction score 1,323 Sep 25, 2015 #28 Jaman naomba kuulza, samahan lakn. Je unaweza kujiunga moja kwa moja na vyuo vya afya bila kupitia NACTE?
Jaman naomba kuulza, samahan lakn. Je unaweza kujiunga moja kwa moja na vyuo vya afya bila kupitia NACTE?
ISLETS JF-Expert Member Joined Dec 29, 2012 Posts 8,118 Reaction score 5,368 Sep 25, 2015 #29 Black fire said: Jaman naomba kuulza, samahan lakn. Je unaweza kujiunga moja kwa moja na vyuo vya afya bila kupitia NACTE? Click to expand... hata ukiomba kwa kujaza form moja kwa moja chuoni, jina lako lazima litapelekwa nacte,... maana wao ndio wanaratibu utaratibu mzima.
Black fire said: Jaman naomba kuulza, samahan lakn. Je unaweza kujiunga moja kwa moja na vyuo vya afya bila kupitia NACTE? Click to expand... hata ukiomba kwa kujaza form moja kwa moja chuoni, jina lako lazima litapelekwa nacte,... maana wao ndio wanaratibu utaratibu mzima.
Black fire JF-Expert Member Joined Oct 8, 2014 Posts 755 Reaction score 1,323 Sep 25, 2015 #30 ISLETS said: hata ukiomba kwa kujaza form moja kwa moja chuoni, jina lako lazima litapelekwa nacte,... maana wao ndio wanaratibu utaratibu mzima. Click to expand... Nmeulza xx hv km inawezekana kufanya hvyo hasa kwa vyuo vya private maana naona pazia lishafungwa kwa NACTE
ISLETS said: hata ukiomba kwa kujaza form moja kwa moja chuoni, jina lako lazima litapelekwa nacte,... maana wao ndio wanaratibu utaratibu mzima. Click to expand... Nmeulza xx hv km inawezekana kufanya hvyo hasa kwa vyuo vya private maana naona pazia lishafungwa kwa NACTE
ISLETS JF-Expert Member Joined Dec 29, 2012 Posts 8,118 Reaction score 5,368 Sep 25, 2015 #31 Black fire said: Nmeulza xx hv km inawezekana kufanya hvyo hasa kwa vyuo vya private maana naona pazia lishafungwa kwa NACTE Click to expand... haiwezekani..... lakini hii tanzania figisufigisu nyingi...hebu jaribu....
Black fire said: Nmeulza xx hv km inawezekana kufanya hvyo hasa kwa vyuo vya private maana naona pazia lishafungwa kwa NACTE Click to expand... haiwezekani..... lakini hii tanzania figisufigisu nyingi...hebu jaribu....
B Bampcm Member Joined Feb 26, 2013 Posts 43 Reaction score 4 Sep 25, 2015 #32 Duh! Bado n ukakasi, subira inahitajika.
A astronomy Member Joined Jun 30, 2015 Posts 28 Reaction score 1 Sep 25, 2015 #33 Jamani mwenye namba za come college anitumie