samnas Member Joined Oct 11, 2015 Posts 35 Reaction score 1 Nov 4, 2015 #1 Jaman anaejua lolote kuhusu hizi scholarship atufahamishe maana kimnya kimezidi...au majib yamekuja kimnya kimnyaa??
Jaman anaejua lolote kuhusu hizi scholarship atufahamishe maana kimnya kimezidi...au majib yamekuja kimnya kimnyaa??
samnas Member Joined Oct 11, 2015 Posts 35 Reaction score 1 Nov 5, 2015 Thread starter #2 Kati ya watu 86 wamepata watu 8..this z awkward
Chum Kane JF-Expert Member Joined Sep 16, 2013 Posts 1,148 Reaction score 952 Nov 6, 2015 #3 umejuaje kama 8 tu ndio wamepata?vp na ww umepata?
samnas Member Joined Oct 11, 2015 Posts 35 Reaction score 1 Nov 6, 2015 Thread starter #4 Mm sjapata mkuu, nmeona mtu alipost the same issue akajibiwa kwamba kuna watu walienda wizarani wakapewa jibu hilo, waliopata div.1 form for na form6 ndio waliopta scholar
Mm sjapata mkuu, nmeona mtu alipost the same issue akajibiwa kwamba kuna watu walienda wizarani wakapewa jibu hilo, waliopata div.1 form for na form6 ndio waliopta scholar