ahsanteni wadau, ndio tunatua hapa Dar muda huu,saa 6:34 usiku! Tumecheleweshwa kwa masaa 14! Only in tanzaia, ilikuwa ni ndege (please wait) PW 0415 !
Usiku mwema wanafamilia wa JF,
Majanga mbona majanga!
ahsanteni wadau, ndio tunatua hapa Dar muda huu,saa 6:34 usiku! Tumecheleweshwa kwa masaa 14! Only in tanzaia, ilikuwa ni ndege (please wait) PW 0415 !
Usiku mwema wanafamilia wa JF,
ahsanteni wadau, ndio tunatua hapa Dar muda huu,saa 6:34 usiku! Tumecheleweshwa kwa masaa 14! Only in tanzaia, ilikuwa ni ndege (please wait) PW 0415 !
Usiku mwema wanafamilia wa JF,
Wadau,leo nilipata safari ya kutoka mwanza kwenda dar kwa usafiri wa precission, ndege ilikuwa iondoke saa 6.20 mchana, wakahairisha mpaka saa 7.50, wakahairisha mpaka saa 20.40 na sasa ni saa 20.28 wametuambia itafika saa 22.00. Ikumbukwe watu iliokuwa waondoke hapa mwanza kwenda dsm jana tarehe 31.12.2013 walikwamishwa ikawabidi waondoke siku ya mwaka mpya! Si mara ya kwanza kwa watu kuja humu jamvini na kuulalamikia usafiri huu,!inasikitisha sana kwa huu usafiri! Ni hayo tu kwa leo!
Happy new year wanafamilia wa JF!
Mimi napita 2, nauli yenyewe ya ndege had nicheze bahati nasibu,.!
Wadau,leo nilipata safari ya kutoka mwanza kwenda dar kwa usafiri wa precission, ndege ilikuwa iondoke saa 6.20 mchana, wakahairisha mpaka saa 7.50, wakahairisha mpaka saa 20.40 na sasa ni saa 20.28 wametuambia itafika saa 22.00. Ikumbukwe watu iliokuwa waondoke hapa mwanza kwenda dsm jana tarehe 31.12.2013 walikwamishwa ikawabidi waondoke siku ya mwaka mpya! Si mara ya kwanza kwa watu kuja humu jamvini na kuulalamikia usafiri huu,!inasikitisha sana kwa huu usafiri! Ni hayo tu kwa leo!
Happy new year wanafamilia wa JF!
ahsanteni wadau, ndio tunatua hapa Dar muda huu,saa 6:34 usiku! Tumecheleweshwa kwa masaa 14! Only in tanzaia, ilikuwa ni ndege (please wait) PW 0415 !
Usiku mwema wanafamilia wa JF,