Saudi Arabia na Vatican city

una compare Vatican na vitu vya kijinga.

Makka haisimami bila Mtawa mmoja jina Bi khadija ,spy aliyetumwa na kanisa catholic kuupika (reform) uislamu .

akiuua wanaume watatu kabla ya kuolewa na mtume.akiwa ndiye master plan ya safari zote za mtume.

Safari za kujifunza elimu ghali kwa wasabaeans.

leo wewe una thubutu kulishusha hadhi kanisa Catholic .kanisa lililo financial uislamu.

utakuwa zoba wewe.
 
una compare Vatican na vitu vya kijinga.

Makka haisimami bila Mtawa mmoja jina Bi khadija ,spy aliyetumwa na kanisa catholic kuupika (reform) uislamu .

akiuua wanaume watatu kabla ya kuolewa na mtume.akiwa ndiye master plan ya safari zote za mtume.

Safari za kujifunza elimu ghali kwa wasabaeans.

leo wewe una thubutu kulishusha hadhi kanisa Catholic .kanisa lililo financial uislamu.

utakuwa zoba wewe.
 
aisee hiki ulicho anzisha ngoja nikae zangu tu pembeni mapemaaaa!!!!!
 
 
Mimi ni nani hata nimchukie mwingine?!

Unaweza kuniambia kwa nini MAGAIDI huitumia dini hii kama PANGO lao?!
Ninacho Amini mm Ugaidi ni Itiqad ya Mtu anaweza akawa ni Muislam /Mkristo hakuna dini inayofungamana na Fikra hizi za Kigaidi

Kwamfano Uislam ni dini ambayo iko mbali na Fikra za Kigaida sema watu wengi hawafahamu Mafundisho sahihi ya Uislam wao wanawaangalia Makundi Potezu kama Alshabaab , Boko Haram & ISIS hayo Makundi yako mbali na Mafundisho ya kiislam haya ni makundi ya watu wahuni na Waovu wanaofanya Ufisadi katika Ardhi kwasababu ya Ujinga walionao hawaja Soma Dini ni watu wajinga Hawana Hata Wanachuoni ( Islamic Scholars) wanao waunga mkono Bali hawa ndio wanaotoa Image Mbaya ya Uislam lakini Uislam uko Mbali kabisa na Makundi hayo

Mfano Mwingine Kule Africa ya Kati kuna kikundi Kinaitwa ANT-BARAKA hiki ni kikundi cha Kigaidi kinacho endeshwa na Wakristo Je kwakuchukulia Matendo yanayofanywa na Ant-Baraka na sisi tuseme Ukristo ni Dini ya Kigaidi?
 
Lete ushahidi acha conspiracy theory
 
Umeniua mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…