Saudh Arabia inavyohujumu Nchi za Somali na Yemen Sababu ya Mafuta

Bowie

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
4,372
6,078
Saudh Arabia kwa miaka mingi ndio taifa kubwa katika uzalishaji wa mafuta duniani. Miaka ya hivi karibuni nchi nyingi duniani zimegundulika zina hazina kubwa za mafuta duniani na hii ilipelekea bei mafuta kushuka toka dola 120 kwa pipa moja mpaka kufikia dola 35 kwa pipa.
Nchi za Yemen na Somalia zinautajiri mkubwa wa mafuta na gesi kwahiyo Saudh Arabia haikutaka kuiona nchi hizo zikichimba mafuta, huko Somalia kikundi cha Alshabaab inasemekana kinafadhiliwa na Saudh Arabia ili nchi hiyo isiwe salama na uchimbaji wa mafuta usifanyike, hawa magaidi wa Alshaabab wanapewa fedha nyingi sana ili kuendesha vita dhidi ya serikali. Na huko Yemen serikali ya Saudh Arabia ikishirikiana na askari kutoka Pakistani na Sudan wanaendesha vita vibaya dhidi ya nchi hiyo ya Yemen toka mwaka 2014 ambapo zaidi ya raia 15000 wasiokuwa na hatia wameuawa.
Serikali ya Marekani na washirika wake wamefumbia macho vitendo vya kigaidi vinavyoendeshwa na Saudh Arabia kwasababu sehemu kubwa ya silaha za Saudh Arabia zinanunuliwa kutoka Marekani.
Vikundi kama Talaban na Alqaeda vyote vimeasisiwa na Saudh Arabia, kati watekaji ndege zilizotumika kwa shambulio la 911 magaidi 19 walikuwa raia wa Saudh Arabia.
Kwa kumaliza Saudh Arabia ndio mfadhili mkubwa wa ugaidi duniani.
 
Dawa ni kuwaacha wazidi kuuana. Kadri wanavyopunguzana wao kwa wao ndivyo na dunia inazidi kuwa salama
 
Mkuu Tafadhali ungetuwekea source ya habari yako? Nijuacho ni kwamba kule Yemen kuna nguvu kubwa sana ya shia wenye mpango wa kuvamia kaabah na kuivunja na hiyo ni ktk itikadi za kishia kuwa kila suni na asiekuwa shia damu yake ni halali kumwagwa haikuishia hapo shia wakaendelea mbele zaidi mpk wakafikia kuuwa mahujaji walioenda kufanya hija na kucreate propaganda kuwa watu walikanyagana kwa sababu mtoto wa mfalme alipita njia moja yeye na walinzi wake na kufanya watu wabanane njia nyingine lakini walisahau kuwa ule msikiti wote una CCTV cameras hivyo walionekana wakipulizia gesi za sumu ktk hijja na baadhi ya wauwaji hao nao walikufa kwa gesi hizo ktk upekuzi walikutwa wamejiandika miguuni majina ya hawa maswahaba UTHMAN,ABUUBAKAR na UMAR wakimalizia na neno laanatullah yaani laana za allah ziwe juu yao .....Huenda umeamua kujiongelea tu hujui chochote kuhusu unachoongea na tukwambie kuwa wale mashia wa yaman wanaojiita answar llah wanapata msaada moja kwa moja kutoka iran sio hivyo tu hata kundi la hizbullah (mashia) pia wanapata msaada moja kwa moja kutoka iran .....
KWA NINI IRANI ITOE MSAADA KWA HAYA MAKUNDI?
Ni kwa sababu IRAN ndiye founder wa haya makundi na ukiangalia Sera za haya makundi utakuta ni Sera za IRAN za wazi kabisa
NI NANI SUPOORTER WA HAYA MAKUNDI UKIACHA IRANI(Founder)?
Ni RUSSIA na huyu lengo lake ni kuiangusha serikali ya marekani kila ambapo marekani ameweka maslah vivyo hivyo mrusi akiwa na maslahi makubwa sehemu lazima mmarekani amuharibie...so in short ni kwamba mrusi pia anasupport makundi ya kihishia ingia you tube ujionee kundi la kigaidi la hizbullah kwa kushirikiana na answar-llah wa Yemen wamegundua mabomu ya ballistic kwa ajili ya kuishambulia saudia na washirika wake OK tell me brother ni wapi wamepata hiyo technology?
SYRIA-Yule raisi wa Syria ni shia anapata misaada direct kutoka Iran na Russia then angalia mwamerika na muisrael alivyocreate ISIS is this (ISLAMIC STATE?) or ISIS (Israel Secret
Intelligence Service -Yap this is ISIS) watu wanapambana kwa kutetea maslahi yao na ukitaka kuthibitisha hilo angalia hivi sasa mmarekani na mrusi wanavyopigana Syria lakini kabla ya hapo mlikuwa na fikra mgando kuwa ISIS ndo uislamu haya tunasubiri muambiwe kuwa NORTH KOREA ni waislamu na wanatekeleza Sera za uislam na kwa jinsi baadhi yenu mlivyo mambumbumbu mtakubali tu alafu mwajisifu mmesoma atii mmekisoma nini nyinyi? maana hata vinavyoonekana bado mpk muambiwe mnatia aibu sana
KUHUSU SOMALIA
pale founder wa al shabab anajulikana kuwa ni mmarekani na ameanzisha kwa lengo la kutetea maslah yake na isingekuwa hivyo mpk hivi sasa tuongeavyo al shabab isingekuwepo licha ya hivyo ndani ya Al shabab kuna wamarekani wengi sana mfano Abuu mansur al amriki (amrik means mwamerika) tena huyu alikuwa kiongozi wa juu sana ndani ya al shabab vipi useme wasaudia au umesikia jina la msaudia akiongoza al shabab? Saudia raia akigundulika kuwa anajihusisha na terrorism hukmu yake ni kifo hadharani vipi useme wao hawataki somalia itawalike? unajua msaada anaotoa saudia kwenye nchi zenye vita? kabla hujapost kitu ktk media jitathmini je unachopost ukiulizwa maswali unaweza kukitetea?
 
Mkuu Tafadhali ungetuwekea source ya habari yako? Nijuacho ni kwamba kule Yemen kuna nguvu kubwa sana ya shia wenye mpango wa kuvamia kaabah na kuivunja na hiyo ni ktk itikadi za kishia kuwa kila suni na asiekuwa shia damu yake ni halali kumwagwa haikuishia hapo shia wakaendelea mbele zaidi mpk wakafikia kuuwa mahujaji walioenda kufanya hija na kucreate propaganda kuwa watu walikanyagana kwa sababu mtoto wa mfalme alipita njia moja yeye na walinzi wake na kufanya watu wabanane njia nyingine lakini walisahau kuwa ule msikiti wote una CCTV cameras hivyo walionekana wakipulizia gesi za sumu ktk hijja na baadhi ya wauwaji hao nao walikufa kwa gesi hizo ktk upekuzi walikutwa wamejiandika miguuni majina ya hawa maswahaba UTHMAN,ABUUBAKAR na UMAR wakimalizia na neno laanatullah yaani laana za allah ziwe juu yao .....Huenda umeamua kujiongelea tu hujui chochote kuhusu unachoongea na tukwambie kuwa wale mashia wa yaman wanaojiita answar llah wanapata msaada moja kwa moja kutoka iran sio hivyo tu hata kundi la hizbullah (mashia) pia wanapata msaada moja kwa moja kutoka iran .....
KWA NINI IRANI ITOE MSAADA KWA HAYA MAKUNDI?
Ni kwa sababu IRAN ndiye founder wa haya makundi na ukiangalia Sera za haya makundi utakuta ni Sera za IRAN za wazi kabisa
NI NANI SUPOORTER WA HAYA MAKUNDI UKIACHA IRANI(Founder)?
Ni RUSSIA na huyu lengo lake ni kuiangusha serikali ya marekani kila ambapo marekani ameweka maslah vivyo hivyo mrusi akiwa na maslahi makubwa sehemu lazima mmarekani amuharibie...so in short ni kwamba mrusi pia anasupport makundi ya kihishia ingia you tube ujionee kundi la kigaidi la hizbullah kwa kushirikiana na answar-llah wa Yemen wamegundua mabomu ya ballistic kwa ajili ya kuishambulia saudia na washirika wake OK tell me brother ni wapi wamepata hiyo technology?
SYRIA-Yule raisi wa Syria ni shia anapata misaada direct kutoka Iran na Russia then angalia mwamerika na muisrael alivyocreate ISIS is this (ISLAMIC STATE?) or ISIS (Israel Secret
Intelligence Service -Yap this is ISIS) watu wanapambana kwa kutetea maslahi yao na ukitaka kuthibitisha hilo angalia hivi sasa mmarekani na mrusi wanavyopigana Syria lakini kabla ya hapo mlikuwa na fikra mgando kuwa ISIS ndo uislamu haya tunasubiri muambiwe kuwa NORTH KOREA ni waislamu na wanatekeleza Sera za uislam na kwa jinsi baadhi yenu mlivyo mambumbumbu mtakubali tu alafu mwajisifu mmesoma atii mmekisoma nini nyinyi? maana hata vinavyoonekana bado mpk muambiwe mnatia aibu sana
KUHUSU SOMALIA
pale founder wa al shabab anajulikana kuwa ni mmarekani na ameanzisha kwa lengo la kutetea maslah yake na isingekuwa hivyo mpk hivi sasa tuongeavyo al shabab isingekuwepo licha ya hivyo ndani ya Al shabab kuna wamarekani wengi sana mfano Abuu mansur al amriki (amrik means mwamerika) tena huyu alikuwa kiongozi wa juu sana ndani ya al shabab vipi useme wasaudia au umesikia jina la msaudia akiongoza al shabab? Saudia raia akigundulika kuwa anajihusisha na terrorism hukmu yake ni kifo hadharani vipi useme wao hawataki somalia itawalike? unajua msaada anaotoa saudia kwenye nchi zenye vita? kabla hujapost kitu ktk media jitathmini je unachopost ukiulizwa maswali unaweza kukitetea?

Wewe usijaribu kujenga hoja ama kuleta malumbano ya ushia na usunni mada yangu je ufalme huu wa saudh arabia unafadhili ugaidi ndio ama hapana. Usiniingize mimi kwenye ugomvi uliopo kwenye akili yako ya ushia na sunni.
Saudh Arabia kama taifa kuu la kiislam imelata maafa makubwa sana Yemen majuzi imefikia hatua hata kushambulia wakimbizi wakisomali waliokuwa wakikimbia vita Yemen bila kujali ushia,usunni hata wakiristo je wananchi wa Yemen kujitetea dhidi ya uvamizi wa Saudj Arabia ni ugaidi ? Magaidi wanaoendesha vita Syria wanafadhiliwa na Saudh Arabia na leo wanaoteseka ni hao sunni, Saudh Arabia haijapokea hata mkimbizi kutoka Syria, leo hao wakimbizi wa kisunni wamekimbilia ulaya kuwa wakimbizi.
Hawa wafalme wa Saudh Arabia wameteka akili ya watu wa aina yako ili kuendelea kutumia utajiri wa nchi hiyo kwa maslahi ya familia ya Bin Saudh.
Ondoa fikra potovu ya ushia na sunni kwani tofauti ziltokea karne nyingi zillizopita na kwa miaka mingi waliiishi kwa amani kwanini baada ya kuangushwa utawala wa mfalme wa Iran mwaka 1979 na Ayatolla Khomeine alipochukua madaraka ndipo Saudh Arabia ndio walianza vita na Iran kwa kumtumia Sadam Hussein.
Uwe muuangalifu kutetea maovu ya hao wafalme wa Saudh Arabia. Ijue historia ya Saudh Arabia kuwa mapato yote ya serikali yanatumiwa na familia ya kifalme tu wakati raia wa kawaida wanashida kubwa. Leo hao wafalme wanatumia watu wenye fikra ndogo kama yako kuleta uadui usiokuwepo kati ya shia na sunni.
Elewa Marekani na hawa watawala wa Saudh ni mapacha kwenye ugaidi, kwanini baada ya 911 ilijulikana magaidi karibu wote waliishambulia marekani walikuwa ni raia wa saudh arabia ? Una habari familia ya waliofariki kwenye ugaidi huo wameipeleka saudh arabia mahakamani kudai fidia ?
 
Hakuna kitu umedannganya kams kusema shia wanataka kuvunja kaabah.unachopaswa kujua ni kua kule mashariki yakat marekan amewagawanya haya madhehebu mawili kutokana nawap thehebu linaegemea kwamfano mashia hawataki kabisa ujinga wa wamagharibi kwan wanaamin wao wanaustaarabu wao kama wao sasa hiko kitendo kinawaudhi wamarekan nawamagharibi hivo ugomvi unaanzia hapo sasa unatakiwa uangalie hizo nchi zakishia ni iran sirya iraq lebanon yakusin pia nimashia wa kihizbullah nahao wanamgambo wa kihausi wa yemen.hao wote wako na mrusi nahizo nchizote zakisuni siko na wamarekan nawamagharibi sasa kinachofanyika nikuwachonganisha wapigana ile chuki imeshaota mizizi inabaki mshia namsun huku wamarekan wakitimiza maleongo yao.kwakujibu swali lako muulizaji hakuna ubishi saiudia rabya ndio mtu mbaya kabisa anaeleta hii balaa.nahasa ule utawala wa kifalme ambao unalindwa namarekan wanafanya kitu kibaya sana nawatahukumiwa
 
Hakuna kitu umedannganya kams kusema shia wanataka kuvunja kaabah.unachopaswa kujua ni kua kule mashariki yakat marekan amewagawanya haya madhehebu mawili kutokana nawap thehebu linaegemea kwamfano mashia hawataki kabisa ujinga wa wamagharibi kwan wanaamin wao wanaustaarabu wao kama wao sasa hiko kitendo kinawaudhi wamarekan nawamagharibi hivo ugomvi unaanzia hapo sasa unatakiwa uangalie hizo nchi zakishia ni iran sirya iraq lebanon yakusin pia nimashia wa kihizbullah nahao wanamgambo wa kihausi wa yemen.hao wote wako na mrusi nahizo nchizote zakisuni siko na wamarekan nawamagharibi sasa kinachofanyika nikuwachonganisha wapigana ile chuki imeshaota mizizi inabaki mshia namsun huku wamarekan wakitimiza maleongo yao.kwakujibu swali lako muulizaji hakuna ubishi saiudia rabya ndio mtu mbaya kabisa anaeleta hii balaa.nahasa ule utawala wa kifalme ambao unalindwa namarekan wanafanya kitu kibaya sana nawatahukumiwa
nakuwekea reference ili auche ubishi wa ushabiki
Iran Declares A War On Mecca By Banning Shiites To Do Pilgrims To The Holiest Sites In Islam
nyingine

Iranian Government Reveals It Plans To Utterly “Wipe Saudi Arabia Out Of Existence”
nyingine
Shia Kaaba in Karbala and Najaf!!
 
Mi nashangaa sana watu wengine, wanapenda kuropoka bila kutafuta ukwel. Kama mtoa mada hapa.
Hayo tu sina muda wa kulumbana na mambo mengine yapo wazi
 
Kaka umechemka vibaya angalia hiyo taarifa yako imeegamia wapi.hakuna muda mref toka saudia na iran walipoingia makubaliano kuhusu mahujaji wao maana ndo waliokufa wengi maka haiwezekan iran atengeneze mauaji yawatuwakezaid ya mia saba ili kibla kisiwepo maka.jaman mbona hata kwenye akili hii aingii aliekibadilisha kibla kutoka BAIT LMAQDS kwenda maka ni ALLAH sasa iran hapa anamlaka gan hebu patamuda endelea kusoma zaid utaupata ukwel kaka
 
Mi nashangaa sana watu wengine, wanapenda kuropoka bila kutafuta ukwel. Kama mtoa mada hapa.
Hayo tu sina muda wa kulumbana na mambo mengine yapo wazi
Weka mada yako wazi ama hujui kitu just keep cool.
Wewe usijaribu kujenga hoja ama kuleta malumbano ya ushia na usunni mada yangu je ufalme huu wa saudh arabia unafadhili ugaidi ndio ama hapana. Usiniingize mimi kwenye ugomvi uliopo kwenye akili yako ya ushia na sunni.
Saudh Arabia kama taifa kuu la kiislam imelata maafa makubwa sana Yemen majuzi imefikia hatua hata kushambulia wakimbizi wakisomali waliokuwa wakikimbia vita Yemen bila kujali ushia,usunni hata wakiristo je wananchi wa Yemen kujitetea dhidi ya uvamizi wa Saudj Arabia ni ugaidi ? Magaidi wanaoendesha vita Syria wanafadhiliwa na Saudh Arabia na leo wanaoteseka ni hao sunni, Saudh Arabia haijapokea hata mkimbizi kutoka Syria, leo hao wakimbizi wa kisunni wamekimbilia ulaya kuwa wakimbizi.
Hawa wafalme wa Saudh Arabia wameteka akili ya watu wa aina yako ili kuendelea kutumia utajiri wa nchi hiyo kwa maslahi ya familia ya Bin Saudh.
Ondoa fikra potovu ya ushia na sunni kwani tofauti ziltokea karne nyingi zillizopita na kwa miaka mingi waliiishi kwa amani kwanini baada ya kuangushwa utawala wa mfalme wa Iran mwaka 1979 na Ayatolla Khomeine alipochukua madaraka ndipo Saudh Arabia ndio walianza vita na Iran kwa kumtumia Sadam Hussein.
Uwe muuangalifu kutetea maovu ya hao wafalme wa Saudh Arabia. Ijue historia ya Saudh Arabia kuwa mapato yote ya serikali yanatumiwa na familia ya kifalme tu wakati raia wa kawaida wanashida kubwa. Leo hao wafalme wanatumia watu wenye fikra ndogo kama yako kuleta uadui usiokuwepo kati ya shia na sunni.
Elewa Marekani na hawa watawala wa Saudh ni mapacha kwenye ugaidi, kwanini baada ya 911 ilijulikana magaidi karibu wote waliishambulia marekani walikuwa ni raia wa saudh arabia ? Una habari familia ya waliofariki kwenye ugaidi huo wameipeleka saudh arabia mahakamani kudai fidia ?
 
Hakuna kitu umedannganya kams kusema shia wanataka kuvunja kaabah.unachopaswa kujua ni kua kule mashariki yakat marekan amewagawanya haya madhehebu mawili kutokana nawap thehebu linaegemea kwamfano mashia hawataki kabisa ujinga wa wamagharibi kwan wanaamin wao wanaustaarabu wao kama wao sasa hiko kitendo kinawaudhi wamarekan nawamagharibi hivo ugomvi unaanzia hapo sasa unatakiwa uangalie hizo nchi zakishia ni iran sirya iraq lebanon yakusin pia nimashia wa kihizbullah nahao wanamgambo wa kihausi wa yemen.hao wote wako na mrusi nahizo nchizote zakisuni siko na wamarekan nawamagharibi sasa kinachofanyika nikuwachonganisha wapigana ile chuki imeshaota mizizi inabaki mshia namsun huku wamarekan wakitimiza maleongo yao.kwakujibu swali lako muulizaji hakuna ubishi saiudia rabya ndio mtu mbaya kabisa anaeleta hii balaa.nahasa ule utawala wa kifalme ambao unalindwa namarekan wanafanya kitu kibaya sana nawatahukumiwa

Mkuu Marekani kama taifa halina hata miaka mia 300 tangu kuundwa kwake (taifa hili liliundwa rasmi July 4, 1776)...vipi kuhusiana na vita kati ya sunni na shia vina miaka mingapi tangia vianze? (nalenga kujibu hoja yako kuwa marekani ndo anawagawa). soma historia ya wafalme wa dola kuu ya Ottoman (kina Suleiman Kanuni na wengine) dhidi ya vita vyao na nchi za urusi, ufaransa, uingereza, serbia n.k ambapo alimlazimisha mtawala wa mji wa Mecca wa enzi hizo ajiunge na vita ombi ambalo aliikataa na mtifuano ukaanza..na Pia kama unafatilia vizuri historia baada ya kifo cha Mtume Muhamad mwaka 632 ndipo ugomvi wa shia na sunni uliaanza haswa wakigombea nani atakuwa kiongozi wa umma wa kiislam ..kwa upande mmoja wa sunni waliamini kuwa Mtume muhamad alikuwa amemchagua baba mkwe wake (baba wa mkewe Aisha) awe mrithi baada ya yeye kuondoka..kwa upande wa pili wa shia waliamini kuwa mtume alimchagua binamu yake Ali Abi Talib (ambae pia ni mkwe wake kwa maana ya mume wa binti yake Fatimah kwa mkewe Khadijah bint Khuwaylid na baba wa wajukuu zake wakiitwa Hasan ibn Ali na Hussein ibn Ali)..historia ya kutofautiana inaendelea kutokea hapo.kuna umwagaji damu mkubwa ulifuata baana ya makundi haya mawili baada ya umauti wa Muhamad kutokana na kutokuelewana huku.waliobobea katika historia ya dini tukufu ya kiislam watatujuza zaidi..Kipindi hiki chote mkuu hakukuwa na taifa linaitwa MAREKANI
 
Hapo umekuja vizur kaka wakat wote huo pamoja nakua namgawanyiko huo waisla walikua bado wanatawala dunia.hata pale maawiya bin abii sufian alipomkataa Alii baada yakufanyiwa baia vitaviliendelea mpaka hasan anauawa kwakuppewa sumu nahusein anachukua madaraka kwakuitwa huku iraq mpaka anakufa karbala hayo yote wazungu walikua bado.turud sasa kuona kwann tunaitaja marekan kwasasa.kubuka marekan kwasasa ndo dola kuu dunian namadola yaliyopita mfumo nihuhuu ili uwe na power dunian lazia uwe na kambi ndomaana marekan ameunda nato sababu nikumdhibit mrusi sasa kumbuka mafuta nayo nirasilimali yakuidhibit dunia lakin pia mashariki yakat inahistoria kubwa sana ya mwanadam naustaarabu wake hivo nayo kuidhibit ni statejia ya kuumiliki usuper power wa dunia sasa ndomaana tuarud nyuma nan yupo na amerca mashariki yakat?unampata msaudia nasuni yote kwaupande mmoja.namuiran na nchi zote za mashia kwaupande mwingine.nafkir hapa tunajifnunza namm najifunza ziad kutoka kwako.
 
Sasa kaka kingine kinachomuogopesha mmarekan nikwamba kambi ya meusi ambayo inaongozwa na mshia yenyew haijabweteka kama wale mamwinyi wakiarabu hawataki kutafuta teknolojia wao nikununua2 silaha zammarekan nawamagharibi lakin muiran anateknolojia saaiv hivo kumuingia nikaz sana.kumbuka wazung hawajali saiv wanamrindo wao wanaipigia nxhi inabaki majivu.lakin kama unateknolojia nzur wanaanzaje kuipiga ukituma ndege inadungliwa hatakama sio yaruban hivo nchi inaendelwa kulindwa adui hawez kuingia huku unazid kujizatiti baadae unakua kama korea ya kaskazin marekan amebaki mdomo2 mwambie anuse pua anajua jamaa saiv yupi vizur.sasanamuiran ndoanachokifanya haingiliki yule muhindi.halafu namashia wote sasa anawamiliki kwakila kitu nahata ukienda kuwapiga anawasaidia nahumshind kama saiv kule yemen saudia amekaa sirya amekaa lebanon ya hizbullah izrael amekaa.sasa kambi yamagharibi inaogopa inaona huyu jamaa akiendelea hivi mrusi anarud kwenye usuper power.kaka yang nihayo
 
Duuuh watu wengine kwa kupost uwongo wanajiweza
Yemen mafuta yake ni kidogo tu kama oman na ina watu wengi, shida ya yemen ni shia na sunni na haya madhehebu mawili hayapatani. Waarabu walipoteza nguvu duniani kwa fitna yao wenyewe(vita vya ndani). Lakini ingekuwa hakuna fitna ya ndani sasa hivi sijui dunia ingekua vp kwa sababu waliweza kutawala robo ya dunia kwa muda mdogo saana.
"Yemen ndio chimbuko la waarabu".
 
Duuuh watu wengine kwa kupost uwongo wanajiweza
Yemen mafuta yake ni kidogo tu kama oman na ina watu wengi, shida ya yemen ni shia na sunni na haya madhehebu mawili hayapatani. Waarabu walipoteza nguvu duniani kwa fitna yao wenyewe(vita vya ndani). Lakini ingekuwa hakuna fitna ya ndani sasa hivi sijui dunia ingekua vp kwa sababu waliweza kutawala robo ya dunia kwa muda mdogo saana.
"Yemen ndio chimbuko la waarabu".
Unajua Rais wa Yemen Ali Saleh alikuwa ni dhehebu ya shia na alitawala Yemen kwa muda mrefu akiwa rafiki mkubwa wa taifa la Saudh Arabia ambalo ni sunni. Hiyo chuki ya ushia na usuni umetokea wapi kama sio mafuta.
Nenda kasome: Riyadh dirty Secret: Saudh Arabia Thirsty for Oil and Gas in Yemen.
 
Sasa kaka kingine kinachomuogopesha mmarekan nikwamba kambi ya meusi ambayo inaongozwa na mshia yenyew haijabweteka kama wale mamwinyi wakiarabu hawataki kutafuta teknolojia wao nikununua2 silaha zammarekan nawamagharibi lakin muiran anateknolojia saaiv hivo kumuingia nikaz sana.kumbuka wazung hawajali saiv wanamrindo wao wanaipigia nxhi inabaki majivu.lakin kama unateknolojia nzur wanaanzaje kuipiga ukituma ndege inadungliwa hatakama sio yaruban hivo nchi inaendelwa kulindwa adui hawez kuingia huku unazid kujizatiti baadae unakua kama korea ya kaskazin marekan amebaki mdomo2 mwambie anuse pua anajua jamaa saiv yupi vizur.sasanamuiran ndoanachokifanya haingiliki yule muhindi.halafu namashia wote sasa anawamiliki kwakila kitu nahata ukienda kuwapiga anawasaidia nahumshind kama saiv kule yemen saudia amekaa sirya amekaa lebanon ya hizbullah izrael amekaa.sasa kambi yamagharibi inaogopa inaona huyu jamaa akiendelea hivi mrusi anarud kwenye usuper power.kaka yang nihayo
KUMBE WEWE NI SHIA? UMEJIWEKA WAZI LOOH! ALAFU EDIT ULICHOANDIKA UNATIA AIBU KWA KWELI FIRST OF ALL UNATOA POINT KWA USHABIKI WITHOUT REFERENCE THATS WHY NIMEDECIDE KUTULIA KIMYA HUWA SIPENDI KUWEKA MIJADALA NA WATU WENYE USHABIKI!!
 
Back
Top Bottom