Mchina wa kiwalani DSMSatellites Ku fail sio kwa China tu nchi zote unazozifahamu wewe ambazo zina technology za makombora(missiles) na Satellites kuangua ni kawaida sana sababu ni nyingi zikiwemo Engine kufail,Mifumo ya computer Ku fail au Ku fail kwenye separation Nchi ambazo zimefail Mara moja au zaidi
1.US
2.Russia
3.China
4.Europe
5.Japan
6.South Korea
7.North Korea
8.Iran
9.Israel
10.Nk Nk Nk
yet it doesn't remove the truth that chinese are the leading manufacturer of sub standard electronic products in the world. period. [emoji867][emoji867][emoji867]Jinga kweli tena hapo si ajabu ukute una tecno au china made smartphone tena unakuja hapa unafoka foka
Umesahau ya Chatoo[emoji23][emoji23]Satellites Ku fail sio kwa China tu nchi zote unazozifahamu wewe ambazo zina technology za makombora(missiles) na Satellites kuangua ni kawaida sana sababu ni nyingi zikiwemo Engine kufail,Mifumo ya computer Ku fail au Ku fail kwenye separation Nchi ambazo zimefail Mara moja au zaidi
1.US
2.Russia
3.China
4.Europe
5.Japan
6.South Korea
7.North Korea
8.Iran
9.Israel
10.Nk Nk Nk
Hmm really..Ndio tatizo la technology za kuiba
Marekani aliiba kutoka wapi?Hmm really..
Space spy documentary mbona ilionyesha usa aliiba technology ya hayo mavitu na hatuskii yameanguka.naona ni ajari tu
Hahahaha wanaweza kuiripua nchi yao bahati mbaya kwa mitambo wanayoiiga halafu hata wenyewe hawaujui inavo function.Ndio tatizo la technology za kuiba
Hahahaha aiseewavimba macho au wazee wa kuunda vitu fake.
walidhani na kwenye masuala ya anga za mbali ni rahisi kurusha satellite fake.
ila angalau wamejaribu.
SourceSatellites Ku fail sio kwa China tu nchi zote unazozifahamu wewe ambazo zina technology za makombora(missiles) na Satellites kuangua ni kawaida sana sababu ni nyingi zikiwemo Engine kufail,Mifumo ya computer Ku fail au Ku fail kwenye separation Nchi ambazo zimefail Mara moja au zaidi
1.US
2.Russia
3.China
4.Europe
5.Japan
6.South Korea
7.North Korea
8.Iran
9.Israel
10.Nk Nk Nk
Itafute tu mkuu ni mambo mengi mda mchacheMarekani aliiba kutoka wapi?
Niitafutie wapi na wewe ndio umeleta hapaItafute tu mkuu ni mambo mengi mda mchache
Google mkuu..spoon feeding ntakulisha matango.Niitafutie wapi na wewe ndio umeleta hapa
Mmarekani keshafanya yakeSateliti ya China yaanguka
Ni baada ya hatua ya kwanza na ya pili ya urushaji kufanikiwa
24.05.2019 ~ 24.05.2019
Zoezi la kurusha sateliti ya China iitwayo " Yaogan-33 " lafanyika bila mafanikio.
Kwa mujibu wa habari zilizoripotiwa na shirika la habari la Shinhua. Zoezi la kuirusha Sateliti ya Yaogan-33 lilifanyika katika kituo cha anga cha Taiyuen kilichopo jimbo la CangChi .Sateliti hiyo ilirushwa kwa kutumia roketi ya Long March-4C.
Imefahamishwa kwamba, baada ya kurushwa hatua ya kwanza na y a pili zilipita bila mushkeli, ama katika hatua ya tatu ndipo matatizo yalipotokea.
Urushaji huo uliomalizika bila mafanikio uliishia kwa sateliti na mabaki ya roketi kuanguka na kujibamiza ardhini.
Huku uchunguzi ukiwa umeanza kufanywa kuhusu zoezi hilo, habari za kuhusu wapi hasa mabaki ya sateliti hiyo yameangukia hazijatolewa.
Ifikapo mwaka 2045 China inataka kuwa kiongozi katika maeneo ya sateliti za umbuzi wa anga za mbali, ucunguzi katika sayari ya Mars, Jupita, uchunguzi katika mwezi, sateliti kwa ajili ya anwani za kiulimwengu na kujenga kituo cha kudumu cha anga katika orbit.
Tagi: Yaogan 3 , China
Kwa msaada wa mtandao
Nawaona wazee wa kijiwe samli kumbe mko angle hizi eeh?Hehehe! Ngoja niwasubili wachina wa kiwalani waje hapa. Itakiwa wanaandaa utetezi.