Sasa tunakaribia patamu


Nukuu ya Mwl Nyerere '' utii ukizidi unakua UOGA, uoga huzaa UNAFIKI na KUJIPENDEKEZA mwisho wake ni MAUTI ''

Acha unafiki kwenye hili mkuu, Magufuliii ni wa kulaumiwa tu kwenye hili ameshindwa kushusha bei ya sukari alioipandisha mwenye kwa kisingizio eti imefichwa kumbe ni uongo.

matokeo yake wananchi ndo wanataabika. vivohivyo kwenye unga.

kuna ombwe kubwa la uongozi awamu hii ya tano
 
Kwa sasa sitaki kujua chochote kuhusu hii nchi yangu
 
Mkuu kuna kale kabei elekez kauwongo ka kilo ya sukar 1800/=
 
Wewe alikuongezea annual icrement yako au unajitoa ufahamu,vipi umepanda daraja,utakuwa kichaa wewe.
 
Kuna watu msipobadilika mkiwa vijana uzeeni kwenu mtakuwa wachawi haiwezekani kila kitu Magufuli huu ni upepo tu utapita maana kabla ya Magufuli haya matukio hayakuwepo ? Jibu ni kuwa yalikuwepo kwa mazingira tofauti
Kutopata annual increment yeye ndio ameleta,wewe ni kichaa.
 
Tatizo nchi hii wajinga mko wengi mnajifanya wajuaji kwa kuendana na matukio
 
Saaaafi wafafanulie mkuu, kwani 18% ya kodi je haikuepo????
 
Simtetei magufuli wala hanijui na sitegemei anijue yeye kama binadamu anamadhaifu yake ila kama rais hapana tusimuonee anafanya mazuri mengi anachemka machache ngoja nchi ikae vizuri kuna watu watu waliifanya tz Mali yao binafsi kwasasa wote sawa anayekula anakula kihalali kwa jasho lake yapo ya kumlaumu kakini mengine hapana kabisa tunamuonea
 
Ushapata ukuu wa mkoa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…