Mahweso
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 1,098
- 1,501
Kama biashara ni nzuri kwanini wasigawane wanachokipata na waliowachagua? Haiwezekani tupigane wote harafu anakula mmoja,
Kabla ya kuhama tunataka warudi kuitisha Mikutano na walipwachagua na kuwaeleza walichokiona ndani ya chama anachotaka kuhama, na anakoenda, kapata nini aseme ili tufaidike wote,
Ila hii ya kujiamulia tu utafikiri kajiweka mwenyewe pale haifai.
Tuamke wananchi Hawa tunao wachagua wamegundua siasa ni Biashara, mnawachagua wawapiganie kumbe wenzenu wanapambana na Hali zao.
Kabla ya kuhama tunataka warudi kuitisha Mikutano na walipwachagua na kuwaeleza walichokiona ndani ya chama anachotaka kuhama, na anakoenda, kapata nini aseme ili tufaidike wote,
Ila hii ya kujiamulia tu utafikiri kajiweka mwenyewe pale haifai.
Tuamke wananchi Hawa tunao wachagua wamegundua siasa ni Biashara, mnawachagua wawapiganie kumbe wenzenu wanapambana na Hali zao.