Sasa nahama CCM

Unafuata mtu au unafuata sera za chama na utekelezaji wa ilani?Taifa linapoteza muelekeo kwakuwa na watu wa aina yako
 
Nyie ndiyo bendera fuata upepo. Msomi mzima unashindwa kuja na hoja za msingi badala yake unakuja na hoja za chekechea!!!!
 
.......umeahidiwa kofia, skafu na kanga wewe huna jipya!!! Tupa kuleeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hii ndiyo inyokufaa!!We ni sawa na mbwa aliyetapika then karudia matapishi yake!!
 
umemsahau ndugu yako shibuda njoo mchukuwe mkapewe kanga na kofia
 
kWA HERI! UKIRUDI UTAKUTA TUMEFUNGA MLANGO!
 
Ni kwa sababu ya kuridhika na Team iliyochaguliwa kuongoza CCM 2012 - 2017. Na hasa Philip Mangula. CCM OYEEEEEE!!!!!!!

Ni kama ulivyoridhika kwa JK, subiri utaipata, unadhani simba mzee hana meno!

Aliachwa kwenye ulaji, sasa amerudishwa rasmi na yeye akuvune!
 

Haya wale waongo naoitwa CHADEMA mpoooo?

Kwa wale msiojua maana ya PEEEOPLEEE POWER! Mnashangilia tu. Maana yake ni kuwa wanapotoa kafara ya mtu kwenye mikutano yao wao inawapa nguvu. mashetani sana hawa CHADEMA. Pole ninyi mnaoshangilia CHADEMA kama vipofu.
 
People's Power siyo nguvu ya umma kama CHADEMA wanavyodanganya wananchi. CHADEMA wanaamini katika kutoa kafara wananchi wasio na hatia katika mikutano yao na kuisingizia serikali. Mbinu wanayotumia ni ya hali ya juu mno.

Lengo lao ni kutafuta 'public sympathy', na mimi ni mmoja wa wasomi tuliodanganyika kabisa. Tulihama CCM, tukahamia CHADEMA ile baada ya kuwa CHADEMA tulikutana na madudu ya kufa mtu.

Ikafika mahala nikaona sasa basi tena. Maana niliyoyakimbia CCM yakaonekana matakatifu kuliko uozo nilioukuta CHADEMA. Hapo nikatamani hata kukimbia nchi.

Lakini CCM kumbe ilikuwa ikitengeneza mambo, CCM imeweza, hongera sana wote ambao hawakuhama CCM, Wameonyesha kuwa wao ni majasiri, hawakukumbia matatizo bali wamekaa wakayatatua, wametupa somo kubwa sisi ambao tulikimbia. Wanachama wa CCM ambao hawakutikiswa na nguvu ya soda, bali walikaa wakatatua matatizo ndani ya chama na sasa CCM ni Imara kabisa.

CCM daima!!!!!
 
Wanaoipeleka CDM Magogoni kwa maneno ya kelele za debe tupu lisiloacha kutika hawazipimi nyakati, Kama wanachama wao wanaifagilia CCM kweupe mbele ya kadamnasi wanategemea nini, uteuzi wa Philip Mtu mwadilifu ambaye hana kelele ambaye hata mafisadi walipomuengua hakupiga kelele ni mwanzo wa kufa kwa kundi linalokata mizizi ya CCM. Mbali na utekelezaji wa ilani ya CCM wapinzaji wasubili kuona machine itakayosimamishwa 2015 mwezi May, naamini baadhi ya wanaohama watavitelekeza vyama vyao bila kuaga. nawashauri warudi mapema.
 
Tulikuwa tunasubiri CCM ichague timu yao WANAOIITA YA USHINDI ili na sisi CHADEMA tuanze safari yetu rasmi ya KUELEKEA 2015 muda si mrefu mtasikia kwenye vyombo vya habari MWELEKEO YA CHADEMA 2015!
 
'Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa' Wako radhi kupotosha ukweli kwa kuwa tu wameahidiwa cheo ama kupewa fedha...wanasahau kabisa kwamba kuna mtoto wa mkulima kabla ya huyu mlima nyanya lakini hakukuwa na mabadiliko sana.Ni kujikabidhi kwa shetani kueneza uongo eti watu fulani wanaua watu ili wapate nguvu, je,unapokuwa unasema hayo kisa tu unatumika kisiasa,hufikiri kama CHADEMA wangefanya hivyo wangekimbiwa na wananchi bila kusukumwa wafanye hivyo. Ni kwa nini hatumshirikishi Mungu kwenye maono yetu? Kisa hela tu,upo tayari kujitoa ufahamu kujiita ulikuwa CHADEMA kumbe hujawahi kuwa hata kwa dakika...kumbuka jf haina mpaka.Kwa wasomi kweli na wenye hofu ya Mungu walioko ughaibuni wanapata tabu kujua msomi wa Tanzania anatakiwa aweje? Umasikini,ujinga,maradhi na ufisadi unaolikumba taifa unaishi vichwani mwenu.Je,ulimsikia mfuasi wa democratic akiwatuhusu republican kwa sera zisizoishi freemasons na uchawi nje ya Uchumi,afya,kilimo na biashara?
 
Sina uhakika sana na hayo uliyoyasema kuhusu freemason pamoja na casino maana kabla ya ujio wa vyama hivo vitu vilikuwepo jariau kujenga hoja yenye mantiki
 

oops! Kumbe unaimba!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…