Sasa Kula Rambirambi Imegeuka Fasheni Awamu ya Tano.

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
40,432
73,078
Hili jambo linakera na kuhuzunisha sana. Maafa yakitokea na yakiwagusa watu serikali inayageuza kuwa source ya revenue kwa nini? Tuliona Kagera kwa kutumia ofisi ya mkuu wa mkoa na wananchi wakapiga kelele sana kutofurahishwa na hilo.
Lakini ikawa kama kumpigia mbuzi gitaa, wamerejea hayohayo Arusha kupitia ofisi ya RC hata kumbukumbu ya Kagera haijafutika.
Kama tukikemea hawasikii sasa tuchukue hatua gani? Maana majanga kwetu wanadamu hayawezi kuisha yapo tuu.
Hivi hata magari ya jeshi yanaposhiriki kwenye maafa yanakuwa yamekodiwa kwa fedha za rambirambi?
 
You know what?
Baada ya Mkulu kubana kila kona kwenye upigaji wa deal, fedha ya Rambirambi ndo inaonekana rahisi kuipiga! Na huu upigaji hata JPM mwenyewe anapiga! Angalia fedha ya Tetemeko Kagera ngosha naye aliamua kujichotea kupeleka Chato kujenga Airport ya Kimataifa!
Fedha ya rambirambi haina Ukaguxi wa CAG ndo maana Wakuu wa Idara wanaona rahisi kuipiga!!!!
 
Kagera imekatusha tamaa wengi sn ndo ksa mmeona Arusha wengi wametoa pole ya maneno. Kama kweli viongozi jilekebshen hii ni aibu kubwa sn. Mtapata laana kubwa an. Mmekatisha tamaa wengi sn. Nahc kama haikomi bas waathlka wapewe direct hii kupitia kwa imekua chanzo cha upgaji sn. Hadi pesa za misiba tunapga wapi tunaenda jamaniiiiiiiii?
 
Hii tabia naona imeshaanza kupendwa na kufanyiwa kazi.

Hata kwenye misiba ya kawaida tabia hii inaweza kuanza kuigwa kwani mtoto hujifunza kutoka kwa mzazi.

Ipigwe vita before is too late.
 
hii awamu inapenda mno hela..
hata ukiwa shimoni na hela watakufata..
ila wakisikia upo shimoni unakaribia kufa, badala ya kuja kukuokoa watasema ni uchochezi unaolenga kuligawa taifa.
 
Hii laana ya kula pesa ya rambi rambi itawafuna mpaka vizazi vyao,maana watawala wamegeuza hili suala la Misiba kama miradi yao,milion mia mbili na kitu zilizochangwa tunaambiwa milion 190 ni pesa za matumiz,matumizi gani? hayo au walilisha Watu,kitu ambacho sicho,ni wiz tu ndiyo umefanyika hapo na siyo kingine
 
You know what?
Baada ya Mkulu kubana kila kona kwenye upigaji wa deal, fedha ya Rambirambi ndo inaonekana rahisi kuipiga! Na huu upigaji hata JPM mwenyewe anapiga! Angalia fedha ya Tetemeko Kagera ngosha naye aliamua kujichotea kupeleka Chato kujenga Airport ya Kimataifa!
Fedha ya rambirambi haina Ukaguxi wa CAG ndo maana Wakuu wa Idara wanaona rahisi kuipiga!!!!


Wale wote waliotoa ahadi ya kutoa rambirambi sidhani kama watatoa tena.
Hii ni kwa both, ajali ya tetemeko la Kagera na hili la wanafunzi lilitokea Karatu
 
Back
Top Bottom