mwaka jana mmetuambia kuwa airtel ni kampuni ya serikali kwa asilimia mia (inamilikiwa na serikali) mwaka huu mnatuambia kuwa hisa za serikali zimepanda toka 40 mpaka 49. Tuwaeleweje nyieNonsense from the craps so called Ba vichaaa!
Hata mambo ya hisa zetu toka TTCL,CELTEL, ZAIN na hivi sasa ZAIN bado hamuwezi kupambanua ?mnatuletea uharo wa threads mfu kama hizi.
Majizi utayajua tu!
Aibu kwenu mlizowea short cuts za matanuzi ya magari ya kelele mitaani kwa fweza za wizi sasa mtaisoma namba....nahii ni mpaka 2025 na baadae ni majaliwaaaaa![emoji1241]
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi unajua maana ya hisa kweli?
Ile 1 billion ipo nje ya hisa,halafu serikali na airtel wamekubaliana kwamba airtel watatoa 1 billion kila mwezi kwa miaka 5 sasa wewe unakataa kama nani? au u chuki inakusumbua?
Nakuuliza tena unajua maana ya hisa?
Mbwembwe nyingi za nguli wa sheria Profesa Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi mara tu baada ya kuteuliwa kuchukua nafasi ya uwaziri sasa zimefika tamati.
Hii inaweza kuhusishwa na ugumu wa nafasi aliyopewa, kukosa uwezo au hata ufanisi wa viongozi wake wakuu kwa maana ya Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.
Toka picha ya makinikia ishindwe kuendelea kutokana na huo huo uwezo wa Profesa Kabudi, leo kaja na hili suala la Airtel na mabilioni ya shilingi.
Najiuliza haya mabilioni kutoka Airtel yanalipwa lipwa kwa misingi ipi au ni zile zile hekaya za Abunuasi.
Kabudi kashindwa ......
Chimbachimba usijibu kilayman hivyo, hizo pesa za one billion per month, two billions for community benefit na mgao mwingine wa gawiwo la billions 10 kwa mwaka. Kiukweli it's so hard to understand.Hadi umri huu hujui maana ya hisa?
Chuki
Kinyongo
Wivu
Roho mbaya and the likes ndo yanakusumbua
Ok umeshinda.Test me then you f*cking Paki! I had done college on investment before you were concevied!
Kwa akili zako timamu wewe Airtel watowe 1B kila mwezi kwa miaka 5 for what? Are you in your fucking unsound mind?
hujui kitu mkuu kwani mara nagapi fiber optic inakatika baharini? kampuni zinashare minara na mitambo wamiliki ni helios tower na kampuni nyingine kwahiyo as long as tigo wapo voda, airtel, zantel watakuwepo tatizo wewe kichwa kizito, kwanini mama yako hakufanya abortion katuletea zombie jamii forums kila biashara ina changamoto na changamoto haizuii ku guarantee dividends exceptions zipo you idiot.Sasa kama mitambo imeharibika hata kama hawaimiliki wao wewe utatumia nini?
The point is huwezi kuguarantee dividends kwa shareholders kwenye biashara, msenge wewe, kama hujui kuleta hoja bila ya kutukana watu, na sisi tuanweza kutukana pia!
Mbwembwe nyingi za nguli wa sheria Profesa Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi mara tu baada ya kuteuliwa kuchukua nafasi ya uwaziri sasa zimefika tamati.
Hii inaweza kuhusishwa na ugumu wa nafasi aliyopewa, kukosa uwezo au hata ufanisi wa viongozi wake wakuu kwa maana ya Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.
Toka picha ya makinikia ishindwe kuendelea kutokana na huo huo uwezo wa Profesa Kabudi, leo kaja na hili suala la Airtel na mabilioni ya shilingi.
Najiuliza haya mabilioni kutoka Airtel yanalipwa lipwa kwa misingi ipi au ni zile zile hekaya za Abunuasi.
Kabudi kashindwa ......
Wewe utakuwa ni matokeo ya mama yako kubakwa.sio bure!hujui kitu mkuu kwani mara nagapi fiber optic inakatika baharini? kampuni zinashare minara na mitambo wamiliki ni helios tower na kampuni nyingine kwahiyo as long as tigo wapo voda, airtel, zantel watakuwepo tatizo wewe kichwa kizito, kwanini mama yako hakufanya abortion katuletea zombie jamii forums kila biashara ina changamoto na changamoto haizuii ku guarantee dividends exceptions zipo you idiot.
Hisa unaijua wakat wa faida tu wakat wa investment huijuiHadi umri huu hujui maana ya hisa?
Chuki
Kinyongo
Wivu
Roho mbaya and the likes ndo yanakusumbua
namshukuru Mungu sikuwahi kufundishwa na KabudiMbwembwe nyingi za nguli wa sheria Profesa Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi mara tu baada ya kuteuliwa kuchukua nafasi ya uwaziri sasa zimefika tamati.
Hii inaweza kuhusishwa na ugumu wa nafasi aliyopewa, kukosa uwezo au hata ufanisi wa viongozi wake wakuu kwa maana ya Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.
Toka picha ya makinikia ishindwe kuendelea kutokana na huo huo uwezo wa Profesa Kabudi, leo kaja na hili suala la Airtel na mabilioni ya shilingi.
Najiuliza haya mabilioni kutoka Airtel yanalipwa lipwa kwa misingi ipi au ni zile zile hekaya za Abunuasi.
Kabudi kashindwa ......