Sasa adui namba moja wa watanganyika ni wazanzibar

Sasa adui namba moja wa watanganyika ni wazanzibar

jiwe la maji

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2014
Posts
1,062
Reaction score
705
watanganyika sasa waislam kwa wakristo wote kwa pamoja wamegundua kuwa maadui wao wakubwa ni wazanzibar maana wao wemejiandikia katiba yao vizuri sana bila kuwashilikisha watanganyika sasa iweje wao wajekushiliki kuharibu katiba yetu tena kwa malipo
 
Hili uliloongea halina ukweli wowote kwani wao walikuwa name haki ya kuandika katiba bila hata kuwashirikisha watangamyika kwakua haiwahusu ila wao wazanzibari wanahaki zote kushiriki mchakato wa katiba unao endelea sasa ili kutetea maslahi ya Zanzibar ndani muungano kwakua hii ni katiba ya JMT, subiri mkianza kutengeneza katiba ya Tanganyika uone kama watakuja kuwaingilia ndo uanze kusema hayo uliyosema hapo juu. Sisi watanganyika ndo watu wa ajabu kabisa maana tunajifunika koti la muungano huku tukidhani kuwa tunaonekana, muungano ni wa nchi mbili zenye historia tofauti, hivyo tunatakiwa kukubaliana ama tuzike nchi zetu na historia zake na tuwe na nchi moja yenye historia moja au tuendelee name historia zetu na nchi zetu huku tukiutambua muungano na sio kama tunavyodanganyana, nchi moja inatambulika kama nchi name nyingine eti haipo, huu ni utapeli was wazi kabisa ambao unafanywa na wanasiasa, mimi si shabiki wa chama chochote ila ukweli ndio huo. Usiwalaumu wazanzibar badala yake walaumu wabunge waliotupilia mbali rasimu iliyoletwa na timu ya wazalendo
 
mkuu SAM82 inauma kuona katiba inayojadiliwa haihusu kabisa uchumi wa zanzibar wala maslahi ya wananchi wao zaidi ya viongozi wao sasa iweje wakubali kushiriki kuizika rasimu ya warioba mi najua wazanzibar ni waislam safi mbona hawatutetei kwa ma ccm
 
Hili uliloongea halina ukweli wowote kwani wao walikuwa name haki ya kuandika katiba bila hata kuwashirikisha watangamyika kwakua haiwahusu ila wao wazanzibari wanahaki zote kushiriki mchakato wa katiba unao endelea sasa ili kutetea maslahi ya Zanzibar ndani muungano kwakua hii ni katiba ya JMT, subiri mkianza kutengeneza katiba ya Tanganyika uone kama watakuja kuwaingilia ndo uanze kusema hayo uliyosema hapo juu. Sisi watanganyika ndo watu wa ajabu kabisa maana tunajifunika koti la muungano huku tukidhani kuwa tunaonekana, muungano ni wa nchi mbili zenye historia tofauti, hivyo tunatakiwa kukubaliana ama tuzike nchi zetu na historia zake na tuwe na nchi moja yenye historia moja au tuendelee name historia zetu na nchi zetu huku tukiutambua muungano na sio kama tunavyodanganyana, nchi moja inatambulika kama nchi name nyingine eti haipo, huu ni utapeli was wazi kabisa ambao unafanywa na wanasiasa, mimi si shabiki wa chama chochote ila ukweli ndio huo. Usiwalaumu wazanzibar badala yake walaumu wabunge waliotupilia mbali rasimu iliyoletwa na timu ya wazalendo

Mwanzo tu wa para yako inaonyesha dosari. Imekaa kama chao ni chao chetu ni chetu sote. Wao kuandika ni sawa!!!!! Mmmmmhhh!
 
Sababu zipo nyingi sana hasa mfumo, wabunge hawako huru ndiyo maana maoni waliyotoa mbele ya tume ni tofauti name wanayozungumza wakiwa bungeni. Unafiki uoga na uchu wa pesa ndio umeyawala. Mkweli hapewi nafasi bali kubezwa ila mnafiki name mwongo hushangiliwa, hakuna apendae fedheha ilipokuwa mtu jasiri kama wale wa time.
 
Ndio maana tulipendekeza serikali tatu kwa Tume ya Warioba, lakini haya MaCCM yamekazania kuchakachua maoni yetu. Hata hivyo kitaeleweka tu.
Ova
 
Mtoa mada umefika darasa la ngapi?wakulaumiwa ni baba yenu nyerere alieificha tanganyika kwenye koti la muungano,zanzibar haihusiki na upotevu wa tanganyika,zanzibar kwanza.
 
Scotlanda na Uengereza karibu watajipa talaka, Iweje sisi tunganganie ? Wapeni wa zanzibari talaka yao!
 
Acha kujidanganya wewe muislamu ndugu yake muislamu(endelea kujitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe). Yaani muislamu awe na uadui na muislamu mwenzake...!!!
 
watanganyika sasa waislam kwa wakristo wote kwa pamoja wamegundua kuwa maadui wao wakubwa ni wazanzibar maana wao wemejiandikia katiba yao vizuri sana bila kuwashilikisha watanganyika sasa iweje wao wajekushiliki kuharibu katiba yetu tena kwa malipo

Chamsingi na nyinyi watanganyika mukae chini muandike katiba yenu kama walivyokaa wazanzibari na kuandika katiba yao wenyewe. Warioba aliwafungulia mlango lakini kwa upungufu wenu wa kutokuelewa hakuuona mlango huo sasa edeleeni kubaki humo humo
 
Daah, majibu kavu laivu kama ni mke ulioa amekuchoka talaka utatoa tu,,!
 
Back
Top Bottom