Mkuu nivizuri kama unatatizo na kitu unaweka full details
Simu gani?(SumSung zipo nyingi sana)
Windows gani unatumia?
Labda tatizo limeanza baada ya kuwaje nk nk
Watu wanaweza kuku saidia hata kugoogle, lakini kama maelezo yako nusu nusu unawatia uvivu wataalamu kukusaidia