Samsung tablet for sale

Samsung tablet for sale

Eliamini

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2012
Posts
616
Reaction score
738
Samsung TABLET inauzwa display inch 8,ina ram gb 1 na rom gb 8, haitumii line, ina mwezi 1 tangu kuinunua bei 250,000
1474460069707.jpg
1474460075167.jpg
1474460081322.jpg
1474460089071.jpg
1474460094342.jpg
 
Haitumii line...sasa net inakuwaje?
Kaka bora usingecomment.... Maana umeongea kichekesho..... Sasa nani kakuambia net inapatikana kwenye line peke yake???? Je kama ukiwa na wife! Ama ukiwa na router ama modem... Ama ukifanya tethering na device nyingine!
 
Na wewe(wife)ndo nini ni WIFI
Hahahahahaha....duh,hatari sana.
Haitumii line...sasa net inakuwaje?

Kaka bora usingecomment.... Maana umeongea kichekesho..... Sasa nani kakuambia net inapatikana kwenye line peke yake???? Je kama ukiwa na wife! Ama ukiwa na router ama modem... Ama ukifanya tethering na device nyingine!

Nisinge comment nisingeyajua hayo....asante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom