SAMSUNG S6 EDGE PLUS

Yani ungekua umeniambia mm ningetoa machozi. Iyo (Ukome kabisa) ni balaa
And I have to agree with you
Kweli mimi ni mkali sana na mtu wa kukasirika haraka japo hii hali siipendi kabisa nlikuwa kila mara namuomba Mungu hii tabia initoke

Alhamdullilah kwa sasa nimepunguza sana najitahidi kuwa mtu wa matani na masihara ili hii tabia iishe.
Na nikikasirishwa huwa na smile moja hiyo inayonisaidia kupunguza hasira na kuachana nalo.
 
Daaaah aiseee Yani kwa kauli yako nikasema we jamaa i balaaa
 
Ndo masimu ya kudamshi hayo, kweli tunatofautiana! Ikifika 350 nistueni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…