samsung s5 inauzwa

samsung s5 inauzwa

John Gelas

Senior Member
Joined
Apr 25, 2012
Posts
168
Reaction score
7
Samsung s5 nauza 300000 bei inapungua ntafute ni kama mpya tuu 0719474102
 
mmmh changa la macho hilo hata Samsung wenyewe kiwandan hawauzi hivyo :thumbdown::thumbdown:
 
Eti muuzaji ni kwamba ulitaka kusema unauza cover la Samsung S5 kwa elfu30 au!?
 
mkuu bei yake halisi ni kiasi gani?
ndugu yangu bei yake halisi dukani mara ya mwisho nakumbuka ilikuwa 1.1 mil, lakini sasa kuna moja ya dili ni laki 6 sasa hyo ya laki 3 nimestuka kidogo,nahisi jamaa kapigwa anatafuta nae wa kumpiga
 
Hiyo ni S5 Clone la kichina,sema ukweli ndugu ili uiuze,mtu atainunua kutoka na ukweli uliosema,ukileta ujanja ujanja hata anayetafuta za kichina ataogopa,mara ya mwisho kuona Samsung Galaxy S5 ya kichina ilikuwa inauzwa laki mbili kama miezi 8 au 9 iliyopita.
 
ndugu yangu bei yake halisi dukani mara ya mwisho nakumbuka ilikuwa 1.1 mil, lakini sasa kuna moja ya dili ni laki 6 sasa hyo ya laki 3 nimestuka kidogo,nahisi jamaa kapigwa anatafuta nae wa kumpiga
hahahaaa! imenibidi tu nicheke.. mdau sasa alivyoipamba? duh...

laki 3 kwa 1.1 m sio sawa...

Mkuu na lumia 1325 inasimamaje?
 
Jaman hii ni kwa alie siriaz nmeishiwa ndo maana nmeamua kuipiga hvo mwenye kuitaj antafute
 
Hiyo ni S5 Clone la kichina,sema ukweli ndugu ili uiuze,mtu atainunua kutoka na ukweli uliosema,ukileta ujanja ujanja hata anayetafuta za kichina ataogopa,mara ya mwisho kuona Samsung Galaxy S5 ya kichina ilikuwa inauzwa laki mbili kama miezi 8 au 9 iliyopita.

Sio ya kichina elewa kiswail me mwenyew naijua
 
ndugu yangu bei yake halisi dukani mara ya mwisho nakumbuka ilikuwa 1.1 mil, lakini sasa kuna moja ya dili ni laki 6 sasa hyo ya laki 3 nimestuka kidogo,nahisi jamaa kapigwa anatafuta nae wa kumpiga
Wee kama una shda nitafute
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom