Nauza samsung tv 51 inches series 4 mpya kwa bei ya 1.5m.Karibuni sana.Kwa mawasiliano no ni 0659300000
Ishatumika masaa mangapi??
Maana Ugonjwa wa Plasma gesi yake ikiisha haijazwi, unatupa kule!!
Duh, kumbe inatumia gesi, kazi kweli asee
gesi ya ushuzi inaitwaje kitaalam?
Nauza samsung tv 51 inches series 4 mpya kwa bei ya 1.5m.Karibuni sana.Kwa mawasiliano no ni 0659300000
Tv yangu nilinunua 2008 mpaka sasa natumia hiyo ,sijasikia kama kuna ges naomba nielimishwe
Elimisha wote hapa hapa wengi tu hawajui hilo.