Habari bandugu, naomba kujua wapi naweza pata simu ya samsung brand new kwa dar es salaam bei iwe kuanzia 800k mpaka 900k. naomba na ushauri pia nichukue model ipi kutokana na bei tajwa.
Habari bandugu, naomba kujua wapi naweza pata simu ya samsung brand new kwa dar es salaam bei iwe kuanzia 800k mpaka 900k. naomba na ushauri pia nichukue model ipi kutokana na bei tajwa.