Samsung lcd 32inches for sale

Samsung lcd 32inches for sale

gpblaze

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2011
Posts
304
Reaction score
14
Samsung lcd 32inches for sale.for price 650,000/=tsh na mengine pm.
 
Status ukiwa na maana ipi?hebu elezea nipate kukujbu vizuri
 
Dar imekuwa kama ni default.
Mtu akibandika tangazo anakuwa hana haja ya kusema anapatikana wapi anahisi kila mtu atajua tuu kama yupo Dar.
 
Mkuu mbona hiyo bei ndo bei ya mpya kabisa tena unachana mwenyewe kwenye box tena ukiongeza elfu50 tu unajichukulia kitu cha LED SERIES 5 kipya kabisa kwa Mwanza hiyo.
 
Ilichukuliwa kesho yake tu.ilikuwa mpya sana mtu asingeweza kuiacha.
 
Yes thats why kukawa na sehemu ya private msgs-ndio matumizi yake. Si lazima kila mtu kwenye public ajue baadh ya mambo.ila ukionyesha interest ndio unapewa details zaidi.
 
Samsung lcd 32inches for sale.for price 650,000/=tsh na mengine pm.

Sasa wewe ndugu yangu hujui kufanya biashara sasa si uweke picha ya chombo chenyewe ili kila mtu ajionee.Weka picha na simu yako hii itakuwa rahisi kukuoata na kuongea deal
 
Haikuwa kimeo kuna mambo i had to push.so yalikwnda vizuri and i have already replaced the new one
 
Duh nashangaa mbona leo watu ndio mnareply hili tangazo lishakuwa la siku nyng sana na ilinunuliwa
 
hi
Is anyone else seriously looking to buy a HD television? If you tell me the size you need, HD/Full HD, make preference I can give you a quote and buy this for you from the UK. It will arrive by 1 Feb 2013, let me know by PM as soon as possible.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom