SAMSUNG J3 FOR SALE.

SAMSUNG J3 FOR SALE.

chindo

Senior Member
Joined
Oct 6, 2013
Posts
166
Reaction score
102
Habarini wadau.

Kama tangazo linavyojieleza nauza Samsung J3 kwa Tshs 250k

Sababu ya kuuza ni kua m2 niliyemnunulia hajaipenda hivyo nahitaji kiasi kidogo niongeze ili ninunue simu nyingine.

Mnunuzi atapata pamoja na accesories zote kama charger na earphones.
476c231b5aff06ce6e5df00292562583.jpg


Piga simu kupitia
Mob / App +255 654 646 092
 
Habarini wadau.

Kama tangazo linavyojieleza nauza Samsung J3 kwa Tshs 250k

Sababu ya kuuza ni kua m2 niliyemnunulia hajaipenda hivyo nahitaji kiasi kidogo niongeze ili ninunue simu nyingine.

Mnunuzi atapata pamoja na accesories zote kama charger na earphones.
476c231b5aff06ce6e5df00292562583.jpg


Piga simu kupitia
Mob / App +255 654 646 092
Mnunulie iphone 7.... akiikataa na hiyo niuzie mimi.
 
Aisee mtu anakataa zawadi? Au ni mke! Basi watanzania hatujui appreciation. Anyways utapata mtu tu wa kuinunua.
 
Yah wanawake si unawajua mkuu kwa complications.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom