black chinese
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 1,148
- 1,229
Ha ha ha ha ha chaja bure [emoji4]Iko katika hali nzuri
Inatumia laini 2
Ina screen protector ya 3D
Ina crack ndogo na haionekani sana kwenye mfuniko.
Bei 480k.. inapungua kidogo.
More details.. 0687 08 99 80, mbagala..View attachment 585715View attachment 585716View attachment 585717
Chaja bure..
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona mkono laini sana we ni jinsia gani mkuuIko katika hali nzuri
Inatumia laini 2
Ina screen protector ya 3D
Ina crack ndogo na haionekani sana kwenye mfuniko.
Bei 480k.. inapungua kidogo.
More details.. 0687 08 99 80, mbagala..View attachment 585715View attachment 585716View attachment 585717
Chaja bure..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi watu tusiojulikana hata jinsia zetu hazijulikani kaka..mbona mkono laini sana we ni jinsia gani mkuu
Tatizo la wana jf.. ukiwauzia mzigo bei rahisi wanadhani una matatizo.. kitu kiko mwaah hicho japo kimetumika kwa miezi sita sasa.Ina tatzo gan? Imetumika muda gan
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]Mada itahamia kwenye huo mkono sasa hivi!!...
mbona mkono laini sana we ni jinsia gani mkuu
Kaka hela hiyo hata ya laini moja hupati.. tupia 450 nikususie ukang'olee mizigo mtaani.. mi nimekaa nayo miezi sita tu nishaambukizwa ngoma.
Kaka hiyo nunulia tiketi za tatu mzuka..Ukifika kwenye 100000=ipo
haaaa haaaaa haaaa ndio maana jana nimekuona kwenye gari lisilojulikana ulikuwa umekaa na mtu asiyejulikana naskia mlikuwa mnakwenda kusikojulikana
Nilijua tu watu wa mkono na kichelema lazima wataudindia mkono wangu..Mada itahamia kwenye huo mkono sasa hivi!!...
Refer to the heading above..Daaah....imetumika miez sita yote hiyo? I can't imagine wangapi wametongozwa kupitia hiyo simu. Sitaki mikosi mimi...
Jus kidding broh, hahahaha
Haina scratches zozote mm nikupe 400k?