benbry
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 183
- 55
Nahitaji simu hii ikiwa mpya anayejua duka
kaka uwe makini tu usilizwe, watu wanashindwa kujua kuwa clone sio fake kama wanavozania, hizo s4 fake zipo na clone zipo. ukienda Dubai kuna mpka za laki tano, kwa hiyo be careful mana nimeanza kusikia story za laki '2 humu. Kwa ninavoijua clone yenyewe kwa bei hiyo utatafuta sana. Kama ni mkwawa najua anazo za ukwel na sidhani kama atakuuzia chini ya laki 3 na kuendelea