Samsung galaxy-s3(GT-I9300)

hero7

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
220
Reaction score
70
Habari wakuu!naomba msaada juu ya samsung galaxy s3 ambayo nili upgrade kutoka android v4.0 kwenda4.3via odin ila baada yakumaliza inanimbia "emergency call only"na inafull signal na ukifanya manual network search inaleta mtandao but ukiselect inakupa bado emergency call only na kabla sijaupgrade ilikuwa inafanya kazi vizuri,msaada wakuu.nawasilisha
 
Vipiii network inaadisplay no service
 
imei inaanzia herufi gani je hiyo imei umeutuma TCRA jibu liko safi? km safi Tumia Samsung tool ambayao ina option ya repair nertwork ( umesema baseband ipo na imei ) just repair network use z3xbox or other tools
 
imei inaanzia herufi gani je hiyo imei umeutuma TCRA jibu liko safi? km safi Tumia Samsung tool ambayao ina option ya repair nertwork ( umesema baseband ipo na imei ) just repair network use z3xbox or other tools
TCRA inaleta jibu na inaleta model sawa kabisa,but mkuu
imei inaanzia herufi gani je hiyo imei
INEANZIA 35umeutuma TCRA jibu liko safi? km safi Tumia Samsung tool ambayao ina option ya repair nertwork ( umesema baseband ipo na imei ) just repair network use z3xbox or other tools
 
imei inaanzia herufi gani je hiyo imei umeutuma TCRA jibu liko safi? km safi Tumia Samsung tool ambayao ina option ya repair nertwork ( umesema baseband ipo na imei ) just repair network use z3xbox or other tools
TCRA nimeharibu inaleta all correct infornation za simu but mkuu iyo tool ni nilazima box hamna ambayo haina haja ya kutumia box
 
tafuta cracked miracle software inauwezo wakurepair network
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…