Samsung Galaxy S III for sale wakuu.

Samsung Galaxy S III for sale wakuu.

KIOO

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
6,249
Reaction score
5,933


Salaam wakuu...
...kuna biashara hapo juu ya
simu aina ya Samsung galaxy
S III,nimeitumia miezi kama
miwili ivi yani ni mpya
kabisa wakuu.
Ina charger,skrin
protekta,earphone na hata
ukihitaji manual na box lake pia utapewa kwa kifupi ipo kwenye good
condition,naiuza coz nipo na S4 thats why naiuza wakuu.

Karibuni kwa atakayehitaji
naomba ani-PM nimjulishe
jinsi gani ya ku-meet,nipo
Arusha ila hata kama utaihitaji
kwa Dar pia itawezekana coz
nna mtu huwa anakuja huko kila siku kwa basi naweza nikampa
ikafika huko.
NI PM,THANX.
 
ungeweka price moja kwa moja mkuu... ili mtu ajue kabisa kama yupo on budget or not
 
ungeweka price moja kwa moja mkuu... ili mtu ajue kabisa kama yupo on budget or not

'nimefanya hivyo ili kuepusha majibishano yasiyo na msingi coz mwingine utakuta anakurupuka tu na kuongea anayoyajua yeye wakati sio mnunuzi..............sasa a serious buyer lazma atani-pm na tutamaliza mzigo na wapo walio ni-pm tayari ila wanafikia 500k,asante kwa ushauri'
 
ungeweka price moja kwa moja mkuu... ili mtu ajue kabisa kama yupo on budget or not

'...okay mkuu hapa ni WHERE WE DARE TO TALK OPENLY wakuu..............price yake ni 700k mkuu tufanye biashara kwa atakaye ihitaji kumbuka haina tatizo lolote,karibuni'
 
'...okay mkuu hapa ni WHERE WE DARE TO TALK OPENLY wakuu..............price yake ni 700k mkuu tufanye biashara kwa atakaye ihitaji kumbuka haina tatizo lolote,karibuni'

Mkuu, hii ni ipi?
S III kubwa au Mini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom