SAMSUNG GALAXY NOTE 4 (VERIZON)FOR SALE

mrangi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
95,860
Reaction score
136,762
SIM NI MPYA KABISA....
internal memory ni 32 gb
Ram ni 4 gb
Camera ni 16 mp
Display ukubwa ni 5.70"
Battery-3220mAh
S-pen
Sim Ina support 4G...
Processor 2.7 GHz
Android 4.4,kit Kat
bei ya kuuza ni 500,000/
Sim iko ktk hali nzuri sana
Kwa mawasiliano zaidi kwa wale serious buyers piga namba hii
0715591141...dar
Karibuni
 

Attachments

  • IMAG0367.jpg
    230.2 KB · Views: 114
  • IMAG0366.jpg
    235.7 KB · Views: 102
  • IMAG0364.jpg
    231.2 KB · Views: 100
Simu zenye verizon zinafunguliwa?
Kuna jamaa yangu anayo S7 ameshindwa kuitumia kabisa
 
Hizo ni carrier locked, wakitaka kuziuza wana zi unlock, zipo nyingi tuu, hio kwa njia rahisi walitakiwa wa i unlock huko huko US,
Shida huwa kwenye network, hazikamati vizuri.
Simu zenye verizon zinafunguliwa?
Kuna jamaa yangu anayo S7 ameshindwa kuitumia kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…