SAMSUNG GALAXY J7

Arabian Eagle

Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
71
Reaction score
46
Habari zenu wakuu

Simu yangu sielewi ina tatizo la betri ama laa. Nikicharge ikifika 100% nikichomoa inakuja 99% au saa zingine 95%
Na si chini ya watu wa3 mpaka wa4 nimewasikia wanalalamikia swala hili.

Kama yupo anaeelewa kusolve tatizo hili basi naomba msaada.
 
Tuki waambia mtumie iPhone hamtaki.
Sasa hapo utajifunza kwa vitendo
 
Inakuja 99% kwa sababu 1% inakuwa Imetumika
Hata kama hujapiga wala kutumia internet
 
Badili battery tu.
 
Nadhani problem ni charger,natumia samsung na original charger sijawah ona hyo shd ila ukitumia ya mtu ndo utaona.
 
Hilo tatizo sijui limetokea wapi maana hata Mimi natumia galaxy J7 na nasumbuliwa na hilo tatizo halafu ikifika sometimes hata 53% to below inazima.
 
Battery iliyokuja na simu. Na huu mwaka ni watatu
Badilisha betri mkuu. Sasa mimi nipo grand prime g530h ipo na same tatizo.

Nilichange battery ikakua sawa. Ila shida kubwa ni kupata battery Og ya samsung.

Usihangaike ma system charge wala.
 
Ha haaa,mkuu Samsung original charger haiwez uzwa bei hiyo,pia najua ni changamoto kupata original accessories,me pia aliniuziaga mtu tu ila niliyonunua na simu yenyew ilikuwa kimeo tu.
Inawezekana.. nilinunua charger original 15000
 
Lakn baada ya hapo si inatulia....au inaendelea kutiririka taratibu mpka 0%?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…