Wapi naweza kupata hii simu.Naona inakuja na Android ver6 ambayo ina features nyingi nzuri.Nimejaribu kutafuta kwenye maduka ya online bado haipatakani.Vipi kuna ambaye ameshatumia android ver6?
Wapi naweza kupata hii simu.Naona inakuja na Android ver6 ambayo ina features nyingi nzuri.Nimejaribu kutafuta kwenye maduka ya online bado haipatakani.Vipi kuna ambaye ameshatumia android ver6?