Ww ndio unatoa hela ,kuipokesha serikali kushirikiana na TARURA ambapo Hela Yako kupitia hii bond itasaidia ujenzi wa miundombinu kwa miaka maximum mi5 ambapo upande wa serikali italeta malengo chanya upande wa miundombinu na ww utafaidika kwa gawio la 12% kwa mwaka