Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 138,953 Reaction score 275,505 Jul 31, 2020 #1 Hii ni baada ya mamia ya wananchi kurudisha kadi za chama hicho na kjiunga na Chadema. Taarifa zinadokeza kwamba huu ni mwanzo tu , kipigo zaidi kinakuja .
Hii ni baada ya mamia ya wananchi kurudisha kadi za chama hicho na kjiunga na Chadema. Taarifa zinadokeza kwamba huu ni mwanzo tu , kipigo zaidi kinakuja .
fagix JF-Expert Member Joined Jun 3, 2015 Posts 739 Reaction score 558 Jul 31, 2020 #2 Haya ndio mamia au vimia
mr mkiki JF-Expert Member Joined Sep 22, 2016 Posts 5,721 Reaction score 11,925 Jul 31, 2020 #3 Watu wa Dodoma ndio wajinga nchi hii.
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 32,066 Reaction score 39,528 Jul 31, 2020 #4 Hawa ndio hao mamia ya wanachama,halafu mbona kadi zao mpya mpya,!!!!au mmewapa wapigie picha tu??
Naantombe Mushi JF-Expert Member Joined Oct 16, 2015 Posts 6,254 Reaction score 15,738 Jul 31, 2020 #5 Hata kusini nako hamna kitu watapata. CCM inatakiwa kuvunjwa taratibu taratibu namna hii
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 138,953 Reaction score 275,505 Jul 31, 2020 Thread starter #6 mkorinto said: Hawa ndio hao mamia ya wanachama,halafu mbona kadi zao mpya mpya,!!!!au mmewapa wapigie picha tu?? Click to expand... Wanazitunza vizuri mkuu
mkorinto said: Hawa ndio hao mamia ya wanachama,halafu mbona kadi zao mpya mpya,!!!!au mmewapa wapigie picha tu?? Click to expand... Wanazitunza vizuri mkuu
LESIRIAMU JF-Expert Member Joined Feb 12, 2008 Posts 9,211 Reaction score 14,921 Jul 31, 2020 #7 Erythrocyte said: View attachment 1522549 Hii ni baada ya mamia ya wananchi kurudisha kadi za chama hicho na kjiunga na Chadema. Taarifa zinadokeza kwamba huu ni mwanzo tu , kipigo zaidi kinakuja . Click to expand... Hawa wana akili..
Erythrocyte said: View attachment 1522549 Hii ni baada ya mamia ya wananchi kurudisha kadi za chama hicho na kjiunga na Chadema. Taarifa zinadokeza kwamba huu ni mwanzo tu , kipigo zaidi kinakuja . Click to expand... Hawa wana akili..
monopoly inc JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 5,243 Reaction score 11,421 Jul 31, 2020 #8 Hii kwel ni mamia
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 104,319 Reaction score 183,546 Jul 31, 2020 #9 Erythrocyte said: View attachment 1522549 Hii ni baada ya mamia ya wananchi kurudisha kadi za chama hicho na kjiunga na Chadema. Taarifa zinadokeza kwamba huu ni mwanzo tu , kipigo zaidi kinakuja . Click to expand... Wamasai siyo wa kuwaamini sana!
Erythrocyte said: View attachment 1522549 Hii ni baada ya mamia ya wananchi kurudisha kadi za chama hicho na kjiunga na Chadema. Taarifa zinadokeza kwamba huu ni mwanzo tu , kipigo zaidi kinakuja . Click to expand... Wamasai siyo wa kuwaamini sana!
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 138,953 Reaction score 275,505 Jul 31, 2020 Thread starter #10 johnthebaptist said: Wamasai siyo wa kuwaamini sana! Click to expand... sawa
barafuyamoto JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 32,405 Reaction score 29,807 Jul 31, 2020 #11 Erythrocyte said: View attachment 1522549 Hii ni baada ya mamia ya wananchi kurudisha kadi za chama hicho na kjiunga na Chadema. Taarifa zinadokeza kwamba huu ni mwanzo tu , kipigo zaidi kinakuja . Click to expand... Kumbe ni mamia alafu kilimanjaro...
Erythrocyte said: View attachment 1522549 Hii ni baada ya mamia ya wananchi kurudisha kadi za chama hicho na kjiunga na Chadema. Taarifa zinadokeza kwamba huu ni mwanzo tu , kipigo zaidi kinakuja . Click to expand... Kumbe ni mamia alafu kilimanjaro...
paul sylvester JF-Expert Member Joined Mar 18, 2020 Posts 3,503 Reaction score 3,501 Jul 31, 2020 #12 Aisee
Benaya- JF-Expert Member Joined Jul 31, 2019 Posts 4,416 Reaction score 7,649 Jul 31, 2020 #13 Erythrocyte said: Wanazitunza vizuri mkuu Click to expand... Kama yule aliyetunza tshirt kwa miaka 25
Erythrocyte said: Wanazitunza vizuri mkuu Click to expand... Kama yule aliyetunza tshirt kwa miaka 25
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 138,953 Reaction score 275,505 Jul 31, 2020 Thread starter #14 barafuyamoto said: Kumbe ni mamia alafu kilimanjaro... Click to expand... ya Kyela yanakuja
barafuyamoto JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 32,405 Reaction score 29,807 Jul 31, 2020 #15 Erythrocyte said: ya Kyela yanakuja Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 39,022 Reaction score 49,649 Jul 31, 2020 #16 Bavicha acheni kutesa wenzenu kwa kuwapiga picha ili mradi tu mdanganye huku mitandaoni.
F fazili JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 17,460 Reaction score 23,818 Jul 31, 2020 #17 Asante sana mwisho wa ccm unakuja kwa kasi sana, ni wakati wa kuzika chama hiki hakitufai tena watanzania. Erythrocyte said: View attachment 1522549 Hii ni baada ya mamia ya wananchi kurudisha kadi za chama hicho na kjiunga na Chadema. Taarifa zinadokeza kwamba huu ni mwanzo tu , kipigo zaidi kinakuja . Click to expand... mr mkiki said: Watu wa Dodoma ndio wajinga nchi hii. Click to expand... mkorinto said: Hawa ndio hao mamia ya wanachama,halafu mbona kadi zao mpya mpya,!!!!au mmewapa wapigie picha tu?? Click to expand... Naantombe Mushi said: Hata kusini nako hamna kitu watapata. CCM inatakiwa kuvunjwa taratibu taratibu namna hii Click to expand... LESIRIAMU said: Hawa wana akili.. Click to expand... barafuyamoto said: Kumbe ni mamia alafu kilimanjaro... Click to expand... stroke said: Bavicha acheni kutesa wenzenu kwa kuwapiga picha ili mradi tu mdanganye huku mitandaoni. Click to expand...
Asante sana mwisho wa ccm unakuja kwa kasi sana, ni wakati wa kuzika chama hiki hakitufai tena watanzania. Erythrocyte said: View attachment 1522549 Hii ni baada ya mamia ya wananchi kurudisha kadi za chama hicho na kjiunga na Chadema. Taarifa zinadokeza kwamba huu ni mwanzo tu , kipigo zaidi kinakuja . Click to expand... mr mkiki said: Watu wa Dodoma ndio wajinga nchi hii. Click to expand... mkorinto said: Hawa ndio hao mamia ya wanachama,halafu mbona kadi zao mpya mpya,!!!!au mmewapa wapigie picha tu?? Click to expand... Naantombe Mushi said: Hata kusini nako hamna kitu watapata. CCM inatakiwa kuvunjwa taratibu taratibu namna hii Click to expand... LESIRIAMU said: Hawa wana akili.. Click to expand... barafuyamoto said: Kumbe ni mamia alafu kilimanjaro... Click to expand... stroke said: Bavicha acheni kutesa wenzenu kwa kuwapiga picha ili mradi tu mdanganye huku mitandaoni. Click to expand...
nditolo JF-Expert Member Joined Jul 2, 2011 Posts 3,802 Reaction score 4,451 Jul 31, 2020 #18 Erythrocyte said: View attachment 1522549 Hii ni baada ya mamia ya wananchi kurudisha kadi za chama hicho na kjiunga na Chadema. Taarifa zinadokeza kwamba huu ni mwanzo tu , kipigo zaidi kinakuja . Click to expand... ccm ni vigumu kukusanya umati kama huu bila rushwa
Erythrocyte said: View attachment 1522549 Hii ni baada ya mamia ya wananchi kurudisha kadi za chama hicho na kjiunga na Chadema. Taarifa zinadokeza kwamba huu ni mwanzo tu , kipigo zaidi kinakuja . Click to expand... ccm ni vigumu kukusanya umati kama huu bila rushwa
nditolo JF-Expert Member Joined Jul 2, 2011 Posts 3,802 Reaction score 4,451 Jul 31, 2020 #19 Naantombe Mushi said: Hata kusini nako hamna kitu watapata. CCM inatakiwa kuvunjwa taratibu taratibu namna hii Click to expand... Lindi na Mtwara kutakuwa maumivu kupita kiasi. Korosho ni 0 0 0 0 0 0.... miaka yote. manina
Naantombe Mushi said: Hata kusini nako hamna kitu watapata. CCM inatakiwa kuvunjwa taratibu taratibu namna hii Click to expand... Lindi na Mtwara kutakuwa maumivu kupita kiasi. Korosho ni 0 0 0 0 0 0.... miaka yote. manina
Gerald .M Magembe JF-Expert Member Joined Jul 17, 2013 Posts 2,495 Reaction score 1,802 Jul 31, 2020 #20 Erythrocyte said: View attachment 1522549 Hii ni baada ya mamia ya wananchi kurudisha kadi za chama hicho na kjiunga na Chadema. Taarifa zinadokeza kwamba huu ni mwanzo tu , kipigo zaidi kinakuja . Click to expand... kumbe wewe ni propagandist, sikujua uko hivyo, jIzuie taarifa zisizo za kweli kwa maeneo watu tunaweza kupata ukweli bila tashwishi.
Erythrocyte said: View attachment 1522549 Hii ni baada ya mamia ya wananchi kurudisha kadi za chama hicho na kjiunga na Chadema. Taarifa zinadokeza kwamba huu ni mwanzo tu , kipigo zaidi kinakuja . Click to expand... kumbe wewe ni propagandist, sikujua uko hivyo, jIzuie taarifa zisizo za kweli kwa maeneo watu tunaweza kupata ukweli bila tashwishi.