dokolombwike
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 373
- 615
Wakuu heshima yenu,
Asubuhi nilikuwa nikiangalia Clouds tv nikamsikia Sam Sasari akimsimulia Baby Kabah, eti msichana wake alimpiga chini kisa yeye ni mfupi na mweusi.
Kilichonishangaza ni kuwatangazia watanzania madhaifu yake yaliyosababisha aachwe na dem wake, hii i tofauti kabisa na wanaume wengi ambao hugeuka mbogo pindi wakiambiwa ni wafupi au weusi iwapo wanachukizwa na hali hizo, big up sasari. Wanaume wote tujikubali jinsi tulivyo tutaishi kwa raha sana.
Asubuhi nilikuwa nikiangalia Clouds tv nikamsikia Sam Sasari akimsimulia Baby Kabah, eti msichana wake alimpiga chini kisa yeye ni mfupi na mweusi.
Kilichonishangaza ni kuwatangazia watanzania madhaifu yake yaliyosababisha aachwe na dem wake, hii i tofauti kabisa na wanaume wengi ambao hugeuka mbogo pindi wakiambiwa ni wafupi au weusi iwapo wanachukizwa na hali hizo, big up sasari. Wanaume wote tujikubali jinsi tulivyo tutaishi kwa raha sana.