Sam mahela wa itv ndio habari ya mjini kwa sasa..,kama umedhulumiwa au haki yako imevunjwa kwa namna moja au nyingine, usihangaike kwenda polisi au mahakamani, nenda kashitaki kwa sam mahela wa itv, na hautajutia uamuzi wako. Long live sam mahela.
Sam mahela wa itv ndio habari ya mjini kwa sasa..,kama umedhulumiwa au haki yako imevunjwa kwa namba moja au nyingine, .......
.... na hautajutia uamuzi wako. Long live sam mahela.
Huna macho? ufutilii habari kila usiku? Jamaa mzuri sana tena hata pesa huwa achukui hana tamaa alafu ameokaka anasaidia sana Mungu amsaidie alifanya kazi nzito sana juu ya dada betric mkindo aliyekuwa amevimba mguu