juan moses
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 2,403
- 2,483
- Thread starter
-
- #41
Im Hustling Too Thats Why I Say This Bro. There Are No Car Farms,The Cash Only Counts.Ndio maana nchi inakua na wasomi uchwara.
Yani badala ya kubukua uje uisaidie jamii yako hapo baadae we upo bize unawaza bupa!
Hao unaowasema wanawachukulieni mademu zenu kisa wanatembelea matako walihustle kwanza.Vagina was their last priority son,wangeendekeza uchi leo wasingepata hizo connection za kutembelea mandinga makali.
Na mimi nakuambia a pussy doesn't give thee a dope ass ride with big shiny ass rims,but your grades will.
Pambafu.
Inaonekana Ndo Ilikua Michezo Yako Mkuu.Situmii Izo Huduma Kwa Sasa Na Tena Katika Maisha Yangu Baada Ya Uzi Wa Mentor SITAKI DAWA.mdogo wangu nakushauri uende buguruni pale kuna sehemu inaitwa kimboka utapata hizo voda fasta fasta kwa jero hadi buku kulikoni hizo pasua kichwa za vyuo, pia unaweza ukaunganishwa na mitandao yote ya tigo na voda tena yenye kasi ya 4G kwa gharama ndogo tu kuanzia buku mbili hadi buku tano, uzuri wa pale ukishamalisha kifurushi/vifurushi vyako unaruhusiwa kujiunga na mitando mingine bila wasiwasi. tigo na vodacom!! kazi ni kwako!.
Achaga Uchoyo Mpwani Ww.Na bado
Mkuu Juan,heshima kwako bro,..,.,.teh teh teh,Lilly amekuacha kwenye mataa,.,.,.teh teh teheee.Povu Ilo Veppeee.
Au Na Ww Ndo Wale Mkiona Mtu Anagari Kinakuwasha
Btw Umenikimbia Kule...
Noted Mkuu.soma dogo papuchi huwa hazina exp. date ikifika time yako utakula mpk zitakukinai kabsa. acha kutoa udenda kasome.
Mpaka upilizie air freshner huyo uliebandua ni mwanamke au gari la taka? Kama anaacha uvundo wa nini kutembea nae, ikiwa una gari na haja yako kukata kiu si bora ukatafute mtu mzima anejua kujisafi.HAHHHHAHAHAH watu wanatembea na air flesher unadhan mchezo? unatoka kufanya mambo yako mara mshikaji kakunyooshea mkono anataka lift kumpigia tinted usimchukue itakua soo unaamua kupulizia tuu kisha unamgei lift haaoo maskan
unajua harufu mafuta ya condom? au unapiga kavu tu na kulowesha siti za gari? au mnaweka something like kijikanga kwa chini?Mpaka upilizie air freshner huyo uliebandua ni mwanamke au gari la taka? Kama anaacha uvundo wa nini kutembea nae, ikiwa una gari na haja yako kukata kiu si bora ukatafute mtu mzima anejua kujisafi.
Halafu tunajiuliza kwanini ajali za ajabu ajabu nyingi siku hizi kumbe migari inagundu sababu ya wamiliki wao kuendesha na uvundo na janaba.
Kwa kuanzia si mbaya si unajua hata mbuyu ulianza kama mchichaVitz Nalo Gari Dah... Haya Mama Ila Ndoto Yangu Ni Mark X.
Wewe Ukiona Lipi Udenda Wakutoka??Kwa kuanzia si mbaya si unajua hata mbuyu ulianza kama mchicha
Hah.Inachoma kama pasi uchungu wa hali ya juu
Sawa Mkubwa.Soma kwanza dogo. Acha wakubwa wafaidi
Nakushauri na wewe ukipata Mark X yako usiwe kama hao mabroo.Hah.
Mie Wanavyotudharaulisha Kwa Hawa Mende Tunaonekana Kama Vikatuni Aisee.
Kati ya uliyoyaona hamna ka Vitz? Au hakana nafasi ya kutosha kwa shughuli hio.Vitz Nalo Gari Dah... Haya Mama Ila Ndoto Yangu Ni Mark X.
Hizi mashine zimeshuka thaman kwa sasa zinatumika na kutupwa popote kama maji ya kandoroooo.he hee heeeehahaaaaa pole saaana kijana jitahidi utapata tu
Haaha na wewe pia utakua unapigwa chabo haahaKutesa Kwa Zamu Ndo Maana Saivi Nawaangalia Tu Michezo Yao.