chini ya muti
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 245
- 142
3 pleaseLesson 2 tayari na umeisha isoma,labda kama una swali uliza ili nianzishe lesson 3.
Sasa si utaje hata topic,halafu mimi natiririka.3 please
Niambie kuhusu weweSasa si utaje hata topic,halafu mimi natiririka.
Fafanua basi,kuhusu mimi katika fani au jambo gani?Niambie kuhusu wewe
Na Nikilipata Watantambuahahaaaaa pole saaana kijana jitahidi utapata tu
Povu Ilo Veppeee.Kijana naona unatowa mapovu jiongeze acha kabisa
Bro Usinifananishe Na Shoga Tafadhali.Martin Kadinda upo mpaka JF?
Utafika Tu Mkuu.Dah wenye vigari wanajichapia sana videmu vya chuo. Kijana acha wazile tu na wewe wakati wako ukifika utakula tu
Najua Mkuu Gari Laja Baada Ya Pesa. Sitaki La Kuazima Mm.Kama hauna gari tafuta pesa utawagonga tu.
Kutesa Kwa Zamu Ndo Maana Saivi Nawaangalia Tu Michezo Yao.Haaha pole dogo soma kaZa buti waache wakubwa wafaidi ikifika zamu yako na ww utafaidi(kutesa kwa zamu )
Btw nimependa ulivyomalizia uzi wako eti "kutembelea ma**ko haaaha
Hahaha. Mkuu Umewezaje Kuvumilia Aisee. Mie Ntawafyatua Tu Maana Hamna Namna.AhahhahaH kama se sio mdau wa hayo mambo hata uwe na gari hutaenda kuwagonga....tushapitia mazingira hayo unawexa kuwa na gari ukawa mstaarabu tu....waaachr wagonge tu hao wengine usijilinganishe........na mademu acha wagongwe tu maana wanawashwa na fantasy pia...
Dah Yan Unapanda Gari Unakuta Harufu Za Orgasms. Magari Nayo Yana Siri Nyingi.HAHHHHAHAHAH watu wanatembea na air flesher unadhan mchezo? unatoka kufanya mambo yako mara mshikaji kakunyooshea mkono anataka lift kumpigia tinted usimchukue itakua soo unaamua kupulizia tuu kisha unamgei lift haaoo maskan
Umenena Mkuu Most Hawajitambui Aiseee.Vijana wengi wengi bado hawajui thamani ya muda na jinsi ya kuutumia vyema........
Vijana wengi waliopata bahati au fursa za kupata elimu ya juu hawajui kuwa hiyo ni nafasi adimu sana kwenye maisha yao hasa kwenye hizi nchi zetu za kiafrika kwani siku ukifunguliwa macho na kuona vilio vya watu waliokauka machozi kwa kuiokosa nafasi hiyo adimu au majuto ya watu wanaoteseka maishani mwao kwa kuichezea bahati hiyo adimu....sidhani kama kuna kijana angekuwa anakuja kuandika ujinga angali bado yupo masomoni.........
Kimsingi ni kuwa kila jambo linafanywa kwa wakati wake....hivi vitu vinavyokutoa udenda na kukuumiza moyo ni vitu vidogo sana kwenye maisha na pia huu sio wakati wake.....lakini vile vile kujihakikishia upatikanaji wa vitu hivyo ambavyo wewe unaviona kuwa ni vya msingi kunategemea na juhudi zako katika kulifanya hili la wakati huu vyema zaidi.....
Muda ni rasilimali adimu sana na ni rahisi kuipata lakini gharama za kuupoteza hazilipiki...kwani ukishaupoteza kinachofuata ni majuto.....
Ah Mkuu Ntakucheck Unataka Unipige Yule Kuku Nusu Makini Nini?juan moses hebu nichek hapo UDASA siku ya ijumaa
Hapa Kitivo Walivyokua Na Ukiritimba Ukipata Ya 5 Unaweza Mtihani Wako Ukatumwa Hadi Harvard Ukasahihishwe Tena. Wa Mwisho Kupata First Class Mwaka 1994.Soma dogo,upate GPA ya 5,,acha kufuatilia lyfe la watu
Vitz Nalo Gari Dah... Haya Mama Ila Ndoto Yangu Ni Mark X.Jitahidi nawewe upate hata vitz ili ujigongee
Hahahahah na badoSoma dogo,upate GPA ya 5,,acha kufuatilia lyfe la watu
Na badoPovu Ilo Veppeee.
Au Na Ww Ndo Wale Mkiona Mtu Anagari Kinakuwasha
Btw Umenikimbia Kule...