Saluni ya kiume for sale

Saluni ya kiume for sale

Funguka mkuu, hiyo saloon, inauzwa shilingi ngapi@? Inavifaa gani@?. Sifa ya mfanya biashara ni kumshawishi mteja,
 
Hahaha,nahisi anamaana ya pale Tabata Sheli ambapo kama sikosei moja kwa moja ndio unaelekeo Ubungo na ukipanda juu ni kuelekea Tabata Kimanga ile njia ya Tabata Bima.

Duuh km alimanisha ile round about ya tbt relini pale wanapokaa madalali karibu na shell na traffic lights basi jamaa ana F ya kuelekeza!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom