Aliyekuwa beki wa mtibwa sugar na mchezaji wa timu ya taifa stars salumu mbonde ametia wino wa kuitumikia simba miaka.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Ndio wepi hao mkuu
Wale wa kulalama, hapa watasema mbona kasainishwa huku akiwa wima
Matopeni FCNdio wepi hao mkuu
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Hiyo ofisi utadhani kibanda cha kuuzia vocha ndio Simba HQ?Aliyekuwa beki wa mtibwa sugar na mchezaji wa timu ya taifa stars salumu mbonde ametia wino wa kuitumikia simba miaka.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Usisahau kuwa ni Mzito na Mvivu....Mbonde hayuko aggressive ...hawezi kumkaba Ngoma au Chirwa uwanja wa Taifa
Kuna penati naiona kutoka kwake!!!!?Mbonde hayuko aggressive ...hawezi kumkaba Ngoma au Chirwa uwanja wa Taifa
Angesajiliwa vyura angekuwa ni mwepesi. Uvuvi wa Ajibu hamjauona kisa amehamia bondeni?!Usisahau kuwa ni Mzito na Mvivu....
Ni beki mzuri sana wa Kati ni mrefu na anaweza kucheza mipira ya juu na chini na pia ana spidi na anajiamini ni beki anayetumia akili na nguvu kwa pamoja. Katika usajili wa maana waliofanya Simba huu ni mmojawapo. Na haendi Simba kukaba chirwa sijui ngoma anaenda kucheza Kama mtu anaye command defenseMbonde hayuko aggressive ...hawezi kumkaba Ngoma au Chirwa uwanja wa Taifa
Kama unajua mpira vzr mechi ya Zambia tatizo lilikuwa viungo walishindwa kukaa na mipira na kuchezesha timu matokeo defense ilizidiwaSi ndio huyu aliyekuwa anaruhusu waZambia waruke free header?
Acha unafiki.Uliingia kwenye mioyo yao?Kuna baadhi ya wana simba hawajapenda kabisa usajili huu....
Miaka mingapi? Tulia uandike habari taratibu. Huyu atakua mbadala wa Banda. Toa jembe ingiza jembe mtakoma safari hiiAliyekuwa beki wa mtibwa sugar na mchezaji wa timu ya taifa stars salumu mbonde ametia wino wa kuitumikia simba miaka.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app