Kuweka makabila siyo ishu kivile,coz miaka ya siku hizi makabila is nothin,tabia na mtu alivyo matters.
Unaweza kukuta mtu anavigezo vyote but siyo kabila ulizotaja.
Au mtu anashida ya kuolewa tu so akavaa uhusika wa vigezo vyako..akakutenda.
(mshirikishe SANA MUNGU).
Kuhusu hujawah kudinyana, inawezekana kweli but kwa nielewavyo watu wengi hawaamini,ama watakusoma tofauti so hicho kipengele,em kiedit usiweke kitu..ukimpata utamwambiaga !
All the best!