Ni ktk station ya Star Tv. Salym anfanya kipindi kionekane ni kifupi maana mtu bado
unakuwa unatamani kukiangalia jinsi kilivyo bomba na taarifa zimeandaliwa vema.
Kwasababu hajawahi kukaa akatangaza Ujinga eti Slaa ameanga kumuua Zitto hiyo inaitwa Professionalism...huyu amebobea kwenye taaluma na hawa wa Hapa wamebobea kwenye majungu,uzushi,chuki na fitna...
Binafsi mimi huwa ninasemaga,yule ni mtangazaji no1 wa vipindi vinavyorushwa kwa lugha ya kiswahili!
Ukijaribu kuwafananisha watangazaji wa bongo na mtu kama Salim Kikeke,nikufananisia usingizi na kifo.kama vp acha nikawahi habari muda mchache ujao!
K wa kweli mi namkubali yule jamaa wa Star Tv anayetangaza habari za kimataifa na mwingine wa DW. Lakini hata Salum anavutia katika utangazaji wake huwezi wafananisha na watangazaji wengi wa nchi hii ya Baba Mwanaasha
Kuna huyu jamaa wa ITV anaitwa Arbet Nitwa namuona anaupeo mzuri na style nzuri ya usomaji habari lakini simuoni akifikia kule anapostahili hadi umri umesogea sasa!