kwanza nianze kwa kulipongeza shirika ama taasisi ya jamii forums kwa kua moja ya njia ya utoaji na ufikishaji wa taalifa mbali mbali kwa jamii na taifa kwa ujumla. Rakini pia napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wanajamii forums wote kwa kua sehemu ya ufanikishaji wa zoezi hili la uitimishwaji wa shindano la stories of change kwa mwaka 2024. Nikiwa kama mshindi wa 5 kati ya washindi 10 walio patikana, (Angyelile99) hapo sikuweza kufika katika hafra hiyoo hapo Jana, rakini natumaini jambo lilikwenda sawa sawia