Kim Jo Ngil
Member
- Jan 3, 2014
- 45
- 17
Waziri wa wizara nyeti kama ya fedha anaposimama katika bunge la taifa na kusema kuwa mali ya umma (UDA) haijauzwa na ni bado ni mali halali ya serekali huku mmliki nae akitamka mengine kuwa hamna ukweli kwani shirika limeuzwa na anamiliki yeye.
Unapata picha gani kama mtanzania? Kwa matamko hayo kweli unaweza kuwa na imani na serekali?
Nani muongo hapo? Na kwa nini aseme uongo? Kwa faida ya nani?
Unapata picha gani kama mtanzania? Kwa matamko hayo kweli unaweza kuwa na imani na serekali?
Nani muongo hapo? Na kwa nini aseme uongo? Kwa faida ya nani?