Mbowe mkuu ujui kama kilaza aongee nini zaidi ya "NCHI ITAWAKA MOTO"
Nkurunziza na JK wanaendana sana. serikali inafurahia ya Burundi ili ipate wakimbizi, halafu wasifike kimataifa ati wanakarimu. baada ya muda watpewa uraia!Mbowe na Nkurunzinza ni mtu na kaka yake!
mbona unanitajataja wewe