Sajili laini mpya ya voda yenye Ofa ya chuo

Sajili laini mpya ya voda yenye Ofa ya chuo

Joined
Feb 7, 2017
Posts
15
Reaction score
26
Sajiliwa laini mpya ya vodacom na iunganishwe na Ofa ya Chuo bila kitambulisho cha Chuo kila jumamosi na jumapili piga 0769426491 kwa Maelezo zaidi
 
Vitambulisho vinavyotumika kusajili laini mpya ni kitambulisho cha kura,cha taifa ,passport na leseni ya udereva
 
Kwa MTU yeyote wa daresalaam anaweza akanitafuta kwenye hiyo namba yangu maana kuna maelekezo ya zaidi
 
Namkumbuka yule Pawaga, aliniunganisha laini ikawa mizinguo na kumlipa nishamlipa. Nikipiga simu hapokei, meseji hajibu, jf PM hajibu, na uzi akaufuta kabisaa.. ila Fair tu, nilishaunganishwa tena na mfantakazi wa Vodacom...
 
Mr Philipo hii ipo tofauti si ile kubadilisha laini za kawaida kuwa za Chuo Bali hii ni kwa laini mpya za voda ambazo zinaungwa na Ofa ya Chuo bila ID ya chuo
 
Namkumbuka yule Pawaga, aliniunganisha laini ikawa mizinguo na kumlipa nishamlipa. Nikipiga simu hapokei, meseji hajibu, jf PM hajibu, na uzi akaufuta kabisaa.. ila Fair tu, nilishaunganishwa tena na mfantakazi wa Vodacom...
Mwizi yule naona na jf alishabadili ID Kufuatilia mnasema nini kuhusu utapeli wake
 
Wale wa dar please unaweza ukanitafuta kwenye namba yangu mapema ili tarehe 7 mwezi 4 niweze kuwasajili hiyo laini mpya ya voda weka oda mapema hii ni fursa ya kipekee sana
 
Kesho tarehe 2 mwezi wa 4 Ofa itaendelea kwa watu wa dar wa laini mpya hivi basi tukutane ubungo msewe nitakuwa nawasajili hizo laini za voda ambazo zitaungwa na Ofa ya Chuo bila kitambulisho cha chuo
 
Bei ya laini pamoja na Ofa ya Chuo Tsh 3000 pia lazima iwekewe vocha ya kianzio sh 2000 na mim wakala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom