Safi sana, watanzania tunaweza

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Nimependezwa na hii picha huyu ni dogo wa KitanZania Mzawa akionyesha umahiri wa kuogelea!


OG1.jpg
 
Umahiri wa kuogelea wapi? Mashindano gani? Alishinda? Jina nani? Habari yako haijakamilika
 
Umahiri wa kuogelea wapi? Mashindano gani? Alishinda? Jina nani? Habari yako haijakamilika



Kichwa chako na kinywa chako kimejaa negative tu, na chuki binafsi dhidi yako wewe mwenyewe hakuna kingine, hapo ningeweka picha ya Mzungu au Muhindi usingeuliza hayo maswali uliyouliza!
 

Kichwa chako na kinywa chako kimejaa negative tu, na chuki binafsi dhidi yako wewe mwenyewe hakuna kingine, hapo ningeweka picha ya Mzungu au Muhindi usingeuliza hayo maswali uliyouliza!
FYI nisingecomment kabisa kama angekua mweupe, mimi Ni mbaguzi wa rangi number1. Sijui nimeuliza nini kibaya hapo kama sio wewe uliejaa negativity. Umesema kijana majiri Ni vibaya kumjua mtz mwenzetu mahiri kwenye nyanja fulani. Ni bora usilete kabisa habari kama hutaki afahamike
 
FYI nisingecomment kabisa kama angekua mweupe, mimi Ni mbaguzi wa rangi number1. Sijui nimeuliza nini kibaya hapo kama sio wewe uliejaa negativity. Umesema kijana majiri Ni vibaya kumjua mtz mwenzetu mahiri kwenye nyanja fulani. Ni bora usilete kabisa habari kama hutaki afahamike
Mpendwa easy !! Poza hasira Mkuu... Acha tuwape moyo na nguvu vijana wetu asaa huko mbelekuna mustakabli mpana wa kushinda ...
@barabarosa ahsante kutujuza tuwena roho za kimichezo Sportsmanship... Hongera kwa Vijana wetu shujaa!!
 
Mpendwa easy !! Poza hasira Mkuu... Acha tuwape moyo na nguvu vijana wetu asaa huko mbelekuna mustakabli mpana wa kushinda ...
@barabarosa ahsante kutujuza tuwena roho za kimichezo Sportsmanship... Hongera kwa Vijana wetu shujaa!!
Sikatai ila kanishambulia bila sababu za msingi wakati nimeuliza maswali ya msingi kabisa. Tutamsapoti vp kama hatumjui hata jina. Hatujui anashiriki nini ili tuanze kufuatilia, kama ni picha ya mtu akiogelea kujifurahisha/mazoezi/mafunzo pia angesema na kama hataki afahamike aseme sio kutoa habari robo.
 
Sikatai ila kanishambulia bila sababu za msingi wakati nimeuliza maswali ya msingi kabisa. Tutamsapoti vp kama hatumjui hata jina. Hatujui anashiriki nini ili tuanze kufuatilia, kama ni picha ya mtu akiogelea kujifurahisha/mazoezi/mafunzo pia angesema na kama hataki afahamike aseme sio kutoa habari robo.
Mkuu ..mezea tu.. Bingwa tujenge New TZ !!
 
Back
Top Bottom