Pro Magufuli Wa 47
Senior Member
- Mar 5, 2016
- 188
- 58
Mbunge wa Arusha Mjini (Godbles Lema) alinukuliwa akisema
'Sisi tunazielewa Siasa za Bunge, am telling you, am telling u my brother Lugumi is nothing in this parliament wanakutafuta wewe Kitwanga wanasema wewe ndo kiherehere mkubwa kwa Rais utakuja kuniambia'
Je Bunge letu lipo salama?
Sentensi ya Lema inaonyesha kuwa ni kama kawaida Wabunge kutumika kuunda zengwe kwa Viongozi wa serikali ili waondolewe kwa maslahi ya watu kadhaa iwe Wazuri ama Wabaya.
Kitwanga alikuwa anawindwa mostly na drug kingpin na waarifu wengine wengi waliobanwa kimaslahi mfano kupitia Takukuru au jeshi la polisi na hivyo kumuundia zengwe atolewe.
Kitwanga alichokosea ni kung'ang'ania Cheo, alipaswa akae pembeni kupisha uchunguzi badala ya kukomaa.
Stress za Lugumi, Mauaji ya Mwanza zimemfanya apige viroba.
Yote heri, kama wanahisi wamepona, Dr Magufuli atawa-spprize atakuja na kiboko zaidi ya Kitwanga, hivyo waharifu wajipange.
'Sisi tunazielewa Siasa za Bunge, am telling you, am telling u my brother Lugumi is nothing in this parliament wanakutafuta wewe Kitwanga wanasema wewe ndo kiherehere mkubwa kwa Rais utakuja kuniambia'
Je Bunge letu lipo salama?
Sentensi ya Lema inaonyesha kuwa ni kama kawaida Wabunge kutumika kuunda zengwe kwa Viongozi wa serikali ili waondolewe kwa maslahi ya watu kadhaa iwe Wazuri ama Wabaya.
Kitwanga alikuwa anawindwa mostly na drug kingpin na waarifu wengine wengi waliobanwa kimaslahi mfano kupitia Takukuru au jeshi la polisi na hivyo kumuundia zengwe atolewe.
Kitwanga alichokosea ni kung'ang'ania Cheo, alipaswa akae pembeni kupisha uchunguzi badala ya kukomaa.
Stress za Lugumi, Mauaji ya Mwanza zimemfanya apige viroba.
Yote heri, kama wanahisi wamepona, Dr Magufuli atawa-spprize atakuja na kiboko zaidi ya Kitwanga, hivyo waharifu wajipange.