TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,674
- 1,572
Kuanzia tarehe 30/12/2013 nlikuwa katika safari yangu ya likizo kuelekea Nyingwa Matombo Morogoro, eneo hili lipo ndani ya jimbo la Morogoro Kusini.
Hali ni mbaya kwa ujumla, maisha ya watu yapo chini mno, watu hawa wanahitaj ukombozi haraka.
yafuatayo yalinishangaza sana:
1. Kuna tozo ya maji ya mito, chemchem, mifereji, pamoja na vijito vyote vinavyopta ktk makaz ya watu. kila kaya inatakiwa kulipia 1,000/= bila wahusika kutoa ufafanuz inafnya kazi gani.
2. Hakuna barabara ya uhakika toka tawa kuelekea huko km 94.
Hali ni mbaya kwa ujumla, maisha ya watu yapo chini mno, watu hawa wanahitaj ukombozi haraka.
yafuatayo yalinishangaza sana:
1. Kuna tozo ya maji ya mito, chemchem, mifereji, pamoja na vijito vyote vinavyopta ktk makaz ya watu. kila kaya inatakiwa kulipia 1,000/= bila wahusika kutoa ufafanuz inafnya kazi gani.
2. Hakuna barabara ya uhakika toka tawa kuelekea huko km 94.