wongo hakuna kitu mpaka sasaTayari bana
Uko wizara gani?Me kwangu tayari hivo siwezi kujua kwa upande wako
Unauliza su unatoa taarifa, tatizo LA joto hata akili ya kuuliza huna?Kumbe salary tayari?
AfyaUko wizara gani?
hahahaa eti ampiclox...inaelekea unapenda sana kazi yako mkuuAfya
Acheni kupotosha uma mshahara bado hujaingia
Kweli aisee..maana sio ubishi huu .Ana ni central gvt.ila local gvt wote Leo"Ukiona hadi sasa hivi hujapata Mshahara, basi we ni Mtumishi HEWA"
Sanaa aiseehahahaa eti ampiclox...inaelekea unapenda sana kazi yako mkuu
MD sio?Sanaa aisee