TUKISEMA CCM HAIJAFANYA CHOCHOTE TUNAMAANA ZIFUATAZO;
1; Imeshindwa kutekeleza ahadi zake kikamilifu hata nusu haijafikia.Tangu awamu ya kwanza sera ya za miaka yote imekuwa adui watatu UJINGA,MARADHI,NA UMASKINI.Leo hii elimu ya watu wazima imekufa wasiojua kusoma wanaongezeka na elimu yetu inashuka.Umaskini unaongezeka kwa kasi badala ya kupungua.KIpindupindu na malaria bado nitatizo kubwa huku wakijua malaria hayaondoki kwakugawa net na kipindupindu hakizuiliwi kwakufanya usafi anapokuja obama.
2; Swala la usafiri wa reli limeishinda CCM badala yake inaagiza mabehewa na vichwa vibovu.Reli ya Tanga Arusha na mikoa ya kusini iko wapi?
3; Wameshindwa kuwa goodplaner wa miji na makazi ya watu.Dar inaendelea kujengeka ovyo na miundombinu ovyo.Jiji chafu kuliko majiji yote Afrika mashariki.
4; Nchi iliyojaliwa rasilimali lakini tumeshindwa kulifufua shirika la ndege la Tanzania ATC tunazidiwa na Rwanda nchi ndogo iliyokuwa katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.Sisi hata ndege mbili zimetushinda
5; Pamoja nakujaliwa vyanzo vya maji ardhini na katika mito na maziwa na bahari bado tunashida ya maji kwakiasi kikubwa.Nenda Dodoma makao makuu ya nchi,nenda Mkoa wa Simiyu,Singida na baadhi ya wilaya mbalimbali nitatizo kubwa.
6; Udini na Ukabila unakuwa kwa kasi.Leo hii kuna watu wanazunguka nchi nzima wakieneza dini kwa kutukana na kukashifu dini zingine wanaangaliwa tu.Hivi sasa kuna wahubiri wengi wanatoa CD na DVD zakuchochea utengano wakidini lakini nchi kimya na wahusika wanajulikana.Na kwa umaskini huu wengi watanunuliwa kufanya matukio ya kigaidi.Watu wengine wamekuwa na chuki za ajabu kwa wachaga kila kitu wachaga sio wenyewe wanajisikiaje,hii ni hatari japo wakuu wanaliangalia kama propaganda inayowasaidia.
Tumeshuhudia mafisadi kibao ambao hata sio wachaga.Lakini sisi tunalishwa maneno na wanasiasa.
7; Kufeli kwa Usalama wetu wa Taifa,Leo hii magogo,wanyama na pembe za ndovu zinasafirishwa kinyemela nj
1; Imeshindwa kutekeleza ahadi zake kikamilifu hata nusu haijafikia.Tangu awamu ya kwanza sera ya za miaka yote imekuwa adui watatu UJINGA,MARADHI,NA UMASKINI.Leo hii elimu ya watu wazima imekufa wasiojua kusoma wanaongezeka na elimu yetu inashuka.Umaskini unaongezeka kwa kasi badala ya kupungua.KIpindupindu na malaria bado nitatizo kubwa huku wakijua malaria hayaondoki kwakugawa net na kipindupindu hakizuiliwi kwakufanya usafi anapokuja obama.
2; Swala la usafiri wa reli limeishinda CCM badala yake inaagiza mabehewa na vichwa vibovu.Reli ya Tanga Arusha na mikoa ya kusini iko wapi?
3; Wameshindwa kuwa goodplaner wa miji na makazi ya watu.Dar inaendelea kujengeka ovyo na miundombinu ovyo.Jiji chafu kuliko majiji yote Afrika mashariki.
4; Nchi iliyojaliwa rasilimali lakini tumeshindwa kulifufua shirika la ndege la Tanzania ATC tunazidiwa na Rwanda nchi ndogo iliyokuwa katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.Sisi hata ndege mbili zimetushinda
5; Pamoja nakujaliwa vyanzo vya maji ardhini na katika mito na maziwa na bahari bado tunashida ya maji kwakiasi kikubwa.Nenda Dodoma makao makuu ya nchi,nenda Mkoa wa Simiyu,Singida na baadhi ya wilaya mbalimbali nitatizo kubwa.
6; Udini na Ukabila unakuwa kwa kasi.Leo hii kuna watu wanazunguka nchi nzima wakieneza dini kwa kutukana na kukashifu dini zingine wanaangaliwa tu.Hivi sasa kuna wahubiri wengi wanatoa CD na DVD zakuchochea utengano wakidini lakini nchi kimya na wahusika wanajulikana.Na kwa umaskini huu wengi watanunuliwa kufanya matukio ya kigaidi.Watu wengine wamekuwa na chuki za ajabu kwa wachaga kila kitu wachaga sio wenyewe wanajisikiaje,hii ni hatari japo wakuu wanaliangalia kama propaganda inayowasaidia.
Tumeshuhudia mafisadi kibao ambao hata sio wachaga.Lakini sisi tunalishwa maneno na wanasiasa.
7; Kufeli kwa Usalama wetu wa Taifa,Leo hii magogo,wanyama na pembe za ndovu zinasafirishwa kinyemela nj