Hapa ni Utegi jimbo la Rorya hali ni tete kwa Chadema
Wananchi waeleza Mikutano kupata watu kidogo ni kutokana na kuhubiri udini, kukosa sera mbadala na kufanya ujasiriamali wa kisiasa kila sehemu wanapopita wao hadi lazima watembeze kikapu huku michango hiyo ikiwa haijulikani inakwenda wapi..?
Wananchi wagusia kuwa hawaoni jipya kwao kutokana na kushindwa kusimamia sera zao.
Wananchi waeleza Mikutano kupata watu kidogo ni kutokana na kuhubiri udini, kukosa sera mbadala na kufanya ujasiriamali wa kisiasa kila sehemu wanapopita wao hadi lazima watembeze kikapu huku michango hiyo ikiwa haijulikani inakwenda wapi..?
Wananchi wagusia kuwa hawaoni jipya kwao kutokana na kushindwa kusimamia sera zao.