Sababu 3 kwanini North Korea wasisitishe program yao ya Nuclear

Sababu 3 kwanini North Korea wasisitishe program yao ya Nuclear

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,454
A.Saddam's Iraq
B.Assad's Syria
C.Gaddafi's Libya

China ndio wanatakiwa wasimamie na wasitishe Vita ya Korea na watengeneze utulivu kwenye region hizo na wawahakikishie ulinzi S Korea&N.Korea kwa pamoja na wala siyo USA afanye kazi hiyo.Hii itahusisha N.Korea waache muendelezo wake wa kutengeneza silaha za Nucleur lakini abaki na baadhi ya silaha zake za Nucleur anazozimiliki ili kuzuia hali iliyomkuta Gaddafi na yeye impate ,kwakuwa Gaddafi alikuwa disarmed na baadaye kushambuliwa na wamagharibi.

Vikwazo anavyowekewa NK hazisaidii,1994 waliwekewa vikwazo vingi na NK walikuwa ktk janga kubwa la njaa lakini hawakutii amri.

Mazoezi ya pamoja kati ya majeshi ya USA & S.Korea ndio huchochea zaidi Kim aendelee kutengeneza Nucleur.
 
Sijui gadafi na asad kuwa na nuclear ingesaidia vipi. Syria na Libya ni wananchi wenyewe ndo walipindua serekali zao. Au unamaanisha gadafi angepiga bomu la nuclear dhidi ya waasi? Yaani wapige bomu ndani ya nchi yake mwenyewe?
 
Sijui gadafi na asad kuwa na nuclear ingesaidia vipi. Syria na Libya ni wananchi wenyewe ndo walipindua serekali zao. Au unamaanisha gadafi angepiga bomu la nuclear dhidi ya waasi? Yaani wapige bomu ndani ya nchi yake mwenyewe?
Libya ilikuwa imetulia lkn Choko choko za Westerns ndio zilizoamsha nakumbuka nilikuwa natizama kituo cha habar sikumbuki ni kituo gani wanafunzi wanaosoma UK waki Libya walikuwa wamevaa nguo za kijeshi wakidai wanaenda kumuondoa Gaddafi na wapo proud kurudi ,hawa wote waliandaliwa na pia Hillary Clinton aliplan mda namna ya kuondoa Gaddafi regime na plan yake pamoja na CIA ilifanikiwa ,na rebels wengi ni Muslim militants ambao walitumia fursa hyo kuweka sharia na mpk ss Isis ndio wamejazana kule same case kwa Syria ,siyo kama wananchi wamejiamulia Bali Hillary Clinton aliplan ,propaganda zao,na wengi kutoka mashariki ya kati waliingia Libya kufanya protest na uthibitisho upo na watu wenye ideology hiyo wakaungana..

Mbona wananchi waliandamana kupinga uwepo wa wanajeshi wa ufaransa ktk ardhi ya Libya?.

Waasi wengi ni foreigners ,isis
 
gadaff alikosea sana kutofikilia kuwa na nuclear, angekuwa nayo hao usa wasinge mgusa hata kidogo

nuclear=power=strong national=strong leader

wananchi wasingeweza mtoa hata walie machozi ya damu.

same applied kwa nchi zetu hizi hata wananchi wapige kula ya hapana kwa chama cha kijani hakiwezitoka wala kuyumbishwa, labda wavulugane wao wenyewe
 
Wale rebels=Isis

Westerns wasingeweza kuwapa silaha na ufaransa wasingeingiza ndege zao na wanajeshi wao,..kama Gaddafi angekuwa na Nucleur,missiles nk sabb wangejua wangefeli vby sana na uharibifu wangeupata
 
gadaff alikosea sana kutofikilia kuwa na nuclear, angekuwa nayo hao usa wasinge mgusa hata kidogo

nuclear=power=strong national=strong leader

wananchi wasingeweza mtoa hata walie machozi ya damu.

same applied kwa nchi zetu hizi hata wananchi wapige kula ya hapana kwa chama cha kijani hakiwezitoka wala kuyumbishwa, labda wavulugane wao wenyewe
Haha na hawawezi kuvurugana hawa wana mikakati balaaa
 
Sijui gadafi na asad kuwa na nuclear ingesaidia vipi. Syria na Libya ni wananchi wenyewe ndo walipindua serekali zao. Au unamaanisha gadafi angepiga bomu la nuclear dhidi ya waasi? Yaani wapige bomu ndani ya nchi yake mwenyewe?

si kweli inaonekana hujui dunia inavyojiendesha na vyombo vya kiusalama vinavyofanya kazi. aliondolewa kwa mfano wananchi wa libya walikua na sababu gani ya kumuondoa gadafi? wale walikua ni askari wa kukodi wa waasi
 
Ni kweli wiki Jana nilikuwa na msomi mkoja kutoka Libya MTU maarufu tu nisimtaje nikiwa namuulizia mambo yahusuyo nchi yao. Alisema kuwa kiukweli ni mbegu ya uchochezi tu ilipandwa kati yao na tatizo kubwa yeye alisema ni Ujinga Wa wanachi wenyewe kuukubali uchochezi ule. Hili ni jambo hatari sana
 
Ni kweli wiki Jana nilikuwa na msomi mkoja kutoka Libya MTU maarufu tu nisimtaje nikiwa namuulizia mambo yahusuyo nchi yao. Alisema kuwa kiukweli ni mbegu ya uchochezi tu ilipandwa kati yao na tatizo kubwa yeye alisema ni Ujinga Wa wanachi wenyewe kuukubali uchochezi ule. Hili ni jambo hatari sana
Hahaha.....nimependa sana uliposema UCHOCHEZI....
 
hayupo raia halali anaeweza kuwa muhasi wa nchi yake,wengi wao huwa ni mapandikizi toka mataifa makubwa kwa mda mrefu..
 
Back
Top Bottom