Watu wengi wako katika kampeni ya kutaka NATO wafikishwe ICC, sasa kinachoendelea kwa sasa katika MS western media ni huu udaku na kuzusha habari za uongo kuhusu Aisha Gaddafi, ili bado iendelee kuwa Gaddfi family ndio news ili kuziba watu macho wasione u"shetani" wa US-NATO.
Je unafuatilia libya mpya? na mpango wa US-NATO syria?