Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,937
- 10,815
Nianze kupongeza Kanisa katoliki kwa utaratibu wake wa kuwaombea na kuwakumbuka marehemu wote walio tangulia mbele ya haki kwa kanisa langu Takatifu Katoliki La Mitume Ili jambo ufanyika kila jumapili kwenye Nia za misa.
Sijui kwa dini nyingine mathalani uisilamu na kadhalika na Sina hakika na haya madhehebu yaliyoibuka ya kibongo freva wao sidhani kama hata kuzika wanazikaga jaman.
Swali langu haliko kwenye Dini maana hii ni Dhana Pana na najua wanajf wengi hatupendi kujadiri
Nauliza hivi Magufuli hasingekuwa mkatolliki ni kwamba siku aliyokufa haikumbukiki kitaida kabsa Ili Hali alikuwa Raisi wa kwanza kufia madarakani?
Hivi hii yawezekana ndo sababu Mimi sifi leo sijawai kusikia maazimisho ya siku kifo Cha Hayati KINGUNGE ? Aliyewai kuwa kiongozi mkubwa TU kwa sababu alikuwa haingii kanisani Wala msikitini?
Sijui kwa dini nyingine mathalani uisilamu na kadhalika na Sina hakika na haya madhehebu yaliyoibuka ya kibongo freva wao sidhani kama hata kuzika wanazikaga jaman.
Swali langu haliko kwenye Dini maana hii ni Dhana Pana na najua wanajf wengi hatupendi kujadiri
Nauliza hivi Magufuli hasingekuwa mkatolliki ni kwamba siku aliyokufa haikumbukiki kitaida kabsa Ili Hali alikuwa Raisi wa kwanza kufia madarakani?
Hivi hii yawezekana ndo sababu Mimi sifi leo sijawai kusikia maazimisho ya siku kifo Cha Hayati KINGUNGE ? Aliyewai kuwa kiongozi mkubwa TU kwa sababu alikuwa haingii kanisani Wala msikitini?